Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ilikuwa kwenye shelf ya chini, wakati anainama apate kuitazama vizuri kwa bahati mbaya (au nzuri!), shuzi likamtoka- druuuuuu, soni ikamuingia huku akigeuka haraka kuangalia kama kuna yeyote dukani pale ameliskia shuzi lake, macho yakagongana na mwenye duka ambaye alikuwa karibu huku uso ukiwa umejaa tabasamu zito, mwana mama hakuwa na uhakika kama amesikika au hakusikika, akaona atumie nafasi ile kuyeyusha…Akauliza “Hii pete bei gani?” . Jamaa mwenye duka, huku akiangua kicheko, akajibu “Umeiona tu umejamba, je nikikuambia bei yake si utakunya kabisa?”

Subscribe
Notify of
guest

236 Comments
Most Voted
Newest Oldest
Inline Feedbacks
View all comments
Andrew Mahiga

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Elizabeth Mtei

Nimecheka hadi nina furaha sana! 😆😂

Maimuna

😂 Lazima nihifadhi hii!

Nora Kidata

Ucheshi wa hali ya juu! 😂👏

Vincent Mwangangi

Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣

Shopping Cart
0
    0
    Your Cart
    Your cart is emptyReturn to Shop