Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text “mambo vipi?”…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikaona nikimjibu ni uharibifu wa hela nikaenda kumgongea mlango saa 7 usiku. Alipofungua nikamjibu “shwari”halafu nikarudi nyumbani kulala zangu..
Sipendagi kuchezea salio..
😂😂😂😂😂
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Cheka kidogo na wewe hapa
Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli
Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake
Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya
Hii sasa kali kweli kweli!!
Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi
Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu
Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa