Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita binti mmoja anayejiuza akamsogelea yule mke wa jamaa
akamnong’oneza:- “AKULIPE KABISA KABLA HUJALALA NAYE, NI MGUMU KULIPA HUYOO!!.
HALAFU HUWA HATUMII KONDOMU…”
Unajua ni nini kilitokea?
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Huu ucheshi hauna kifani! 🤣🔥
Nimecheka hadi mbavu zinauma 😂😂
😂 Hii ni kali sana!
🤣😄😊
😄 Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!