Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:”Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?”

ZUZU:”Sunguramilia.”

2.Ticha:”Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?”
ZUZU:”TANZANIATTA.”

3. Ticha:”Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?”

ZUZU:”MELI.”

4. Ticha:”Coach wa Arsenal anaitwa ARSENE,wa Man-city anaitwa MANCINI….Je wa
Liverpool anaitwaje?

ZUZU:”LIVER.”

5 Ticha:”Ukiwa na mbuzi 10,wezi waje waibe 5,utabaki na nini?”

ZUZU:”Hasira nyingi sana!”

Subscribe
Notify of
guest

236 Comments
Most Voted
Newest Oldest
Inline Feedbacks
View all comments
Khamis

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! 😂

Benjamin Masanja

😂 Siwezi kuacha kucheka!

Rabia

🤣 Hii imenigonga vizuri!

Peter Mwambui

🤣👍👌

Jaffar

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! 😅

Shopping Cart
0
    0
    Your Cart
    Your cart is emptyReturn to Shop