DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bahati yake.
DADA:Mambo? KAKA:Poa.
DADA:Mimi na wewe tunaweza kuongea baade?
KAKA:Kuhusu nini?
DADA:Nimekupenda nataka nikutoe out.
KAKA:Sawa ila nitamwambia nini
MKE wangu?
DADA:Aah ilo sio tatizo mdanganye tu,mwambie unakwenda kumtembelea rafiki yako hospitalini.
KAKA:Mwambie mwenyewe huyo hapo anayekusuka.
Β
Unajua nn kiliendelea?
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Ujinga wa ndoto ndio huu
Mshahara usiobadilika
Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake
Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake
Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!
Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe
Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo
Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni