MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday
MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatuonani mzee, mishe vipi, mnatunyima nini? Juzi nimekuona kwa mbaaali… mzee shavu dodo, full kipupwe! Sie tupo bwana, shida tu, afu misiba mingi tu, wife nae kajifungua ghafla. Sasa, kuna cheque naisubiri haijatoka hadi leo, wanasema itatoka next week, hapa nimekwama kweli. Naweza pata ‘Laki Moja’ ya karibu hapo nitarudisha mwisho wa mwezi…?😂😂😂😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Kama kawaida! Bado nacheka! 😄
😂 Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Hii ni ya maana sana! 😂👌
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! 😂
🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!