Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza: Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje mbele.

Mara kasimama kibabu na kwenda mbele, bibi harusi alipomuona tu yule babu akazimia.

Mchungaji akauliza: tueleze pingamizi lako

Kibabu kikajibu: Nimeamua kuja mbele kwasababu kule nyuma sisikii!!!.

kanisa zima hoi,

236 thoughts on “Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa”

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Shopping Cart