Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuwa na kupiga) Mtoto…Mama simu ya baba imepokelewa na mwanamke. (Mama kwa hasira) Akirud atanitambua leo. (Baada ya muda kidogo baba akarud,kufika mlangon tu kapokewa na sufuria ya kichwa. Hajakaa vzur mwiko wa pua) Mama..Mwanangu ulipopiga simu ya babako mwanamke wake alisemaje?? Mtoto..Alisema mteja unaempigia hapatikan kwa sasa…..
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Watu wana vimaneno
Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli
Hakuna siku mbaya maishani kama hii
Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao
Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba
Wadada lenu hili. Mimi sipo
Kuwa na Binti aliyeacha shule
Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax