MWALIMU kaingia darasani na kusema. “Wanaojijua wajinga wasimame”.
MADENGE akasimama peke yake.
MWALIMU: Wewe ndio mjinga?
MADENGE: Hapana, ila nimeona umesimama peke yako nikaona usijisikie vibaya angalau tuwe wawili.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
๐ Hiyo punchline ilikuwa kali!
Hii imenichekesha sana! ๐๐
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ๐๐
๐ Ninakufa hapa!
๐ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!