Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu nikasema.. Chapati .. Maziwa na ovacado tatu …
Nimewekwa kwa karoom kengine hapa kanagiza..
i think wananiandalia chapati
😀😁😀😁😀😁😀😁😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😊😂
Hii imenibamba sana! 😅🤣
Kweli mnajua kuchekesha watu! 🤣😂
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! 😄
Huyu mtu ni mcheshi sana! 😂😂