Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha!
MKE; Vipi leo mbona mpole?
MUME; Ofisi yetu imeungua na watu wote waliokuwemo wamekufa.
MKE; Ilikuaje wewe ukapona?
MUME; Nilikua chooni jirani na ofisi najisaidia.
MKE; Loh maskini, familia zao itakuaje?
MUME; Watalipwa million 100 kila mfiwa.
MKE; KWA HASIRA, Ona sasa na wewe kunya kunya kwako umetukosesha mihela.. Ungeenda kunya akhera.

Subscribe
Notify of
guest

236 Comments
Most Voted
Newest Oldest
Inline Feedbacks
View all comments
Sarah Achieng

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! ☕😆

Anthony Kariuki

😆👏😂😄

James Mduma

😂 Nalia kwa kweli hapa!

David Musyoka

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! 😅

Elizabeth Mtei

😆😂👏

Shopping Cart
0
    0
    Your Cart
    Your cart is emptyReturn to Shop