Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha!
MKE; Vipi leo mbona mpole?
MUME; Ofisi yetu imeungua na watu wote waliokuwemo wamekufa.
MKE; Ilikuaje wewe ukapona?
MUME; Nilikua chooni jirani na ofisi najisaidia.
MKE; Loh maskini, familia zao itakuaje?
MUME; Watalipwa million 100 kila mfiwa.
MKE; KWA HASIRA, Ona sasa na wewe kunya kunya kwako umetukosesha mihela.. Ungeenda kunya akhera.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! ☕😆
😆👏😂😄
😂 Nalia kwa kweli hapa!
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! 😅
😆😂👏