Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kwenye Gari amevaa suti za blue za daladala na miwani Kisha akakusanya pesa Gari Zima alafu akakaa siti ya nyuma baade Kondakta mwingine akaanza kukusanya pesa watu wakalalamika na kusema tayari tumelipa na kumuonyesha tuliemlipa Kondakta akacheka na kusema huyo tuliemlipa ni kipofu na alikuwa anaomba msaada..!!
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Sikutarajia hiyo punchline—kichekesho! 🤣
🤣😄😊
Hii imenichekesha sana! 😄😂
😂🤣
Hii ni ya maana sana! 😂👌