Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefuta namba ya bosi wangu. Halafu boss mwenyew wa kike. Mida ya Saa mbili usiku nikawa chumbani kwangu. Mara simu ýÀñgΓΉ ikawa inaita. Kucheki namba ngeni. Nikapokea baada ya salamu. Meβnani mwenzangu?? Bossβwe hunijui me ?? Meβusinijbu swali kwa swali Nita kublacklist sasa hiv. Sipendagi ujinga.. Kwa sasa nazurura tu mtaani na roba langu La machupa
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πππ
Huyu bibi kazidi sasa
Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini
Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah
Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani
Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!
Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli
Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii