Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hivi:-
1.Jasho la nyoka.
2.Manyoya ya mende.
3.Sisimizi Shoga.
4.Mbwa mjane.
5.Kuku aliye single.
6.Samaki mwenye miaka miwili bila kuoga
7.Mti wenye ujauzito.
8.Mbavu za Nzi.
9.Nywele za Kiroboto.
10.Mwanya wa Mbu.
Duuh..!! mwanangu kwa hali hii mbona itakula kwako.
Wengine wanasemaga
IGA UFE! Rizik anagawa Mungu tu shetan simuelew!
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba
Mipango ya mke na mume ya pasaka
Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba
Cheki kilichompata huyu dada!!
Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya
Ukata wa January
Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya
Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu