Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, tuko...
Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi...
Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake Mtoto: baba eti Botwasna ipo wap? Baba: angalia itakuwa humo humo kabatini maana mama yako nae kwa...
Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa...
Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti kwa njia ya simu juu ya...