Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine akaanza kucheka, watu wakamuuliza “kwanini unacheka unafurahia mwenzako kufariki?” Daktari yule akajibu “hapana mimi ni Daktari wa kutahiri nafikilia nikifa mtanichongea jeneza lenye umbo la ….”
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hii imenifurahisha sana! 🤣😊
😂 Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! 😆
Kweli mnajua kuchekesha watu! 🤣😂
😊😂🤣