Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine akaanza kucheka, watu wakamuuliza “kwanini unacheka unafurahia mwenzako kufariki?” Daktari yule akajibu “hapana mimi ni Daktari wa kutahiri nafikilia nikifa mtanichongea jeneza lenye umbo la β¦.”
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti
Acha usumbufuβ¦
Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu
Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?
Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya
Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena
Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa
Duh. Chezeya kuhama!