Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wakati niponatafakari hiyo bei, nikasikia “Moro, Moro,Morogoro sh.6,000/=”
Nikaamua nipande niende zangu MOROGORO.
Kwenda na kurudi sh.12,000/=.
Wakati wa kurudi nikamwmbia KONDA aniteremshe KIMARA.
SIPENDAGI UJINGA MIMI NA BEI ZA TEKSI.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! 🎉
Kweli ni jokes za ukweli! 👏😆
🤣🤣😄😆
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! 😂😅