Karibu AckySHINE
Karibu AckySHINE
Chagua Unachotaka Kusoma Hapa
Unahakikishiwa kusoma kitu kipya kizuri kila saa unapotembelea ukurasa huu.
Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine
Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na nyumbani kwake, akaulizwa unapakumbuka? akajibu ndio nyumba yangu ileee, mara wakatoka watoto wawili wamevaa uniform akasema watoto wangu walee wanakwenda shule.. akatoka mwanamke akasema na mke wangu yulee, ghafla akatoka mwanaume Jay akasema na mimi yule naenda kazini. hivi Jay kweli kapona?
Tabia za wachepukaji
WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI
1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na sending items hufutwa kila
wakati.
3.Ukimuomba simu yake ghafla lazima
akwambie hebu
kwanzaβ¦β¦.
4. Kamwe haiiti always vaibration.
5. Namba nyingi ha save.
6. Kuna simu hapokei hata
iwejeβ¦.anapenda sms zaidi
7.Majina mengi kwenye simu yameseviwa
kwa majina ya
kufikirika.
8.Muda mwingi ni mtu wakujihami.
9.Anapenda password na anabadili mara
kwa mara.
10.Akiazima simu yako, akitumia tu
anafuta dial no
haraka.
11.Always yuko na simuβ¦..hadi bafuni
ikibidi.
12. Anajazba ukimuuliza chochote kuhusu
simuβ¦.anajishtukia.
13. Akiwa anachati anakuangalia mara kwa
mara
kiwiziwizi
14. Hana jeuri ya kukuweka profile picture
na akikuweka
humalizi masaa anakudampu huko
Hapa kuna ukweli asilimia millioni moja
kabisa
Share na washikaji zakoπππππ
Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje?
BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu
GIRL: Enheeβ¦
BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng’ombe napeleka kwa babu yako
GIRL: Ooh baby u care..
BOY: Siyo hivyo tu, baba yako ntamnunulia Range Rover Sport na mama mkwe ntampa Range Rover Evoque
GIRL: Baby u are awesomeβ¦
BOY: Halagu mdogo wako wa kiume ntampa Prado Tx, na hapo nimesukutua tu mdomo sijaanza kulaβ¦.
GIRL: Enheeβ¦na sisi??
BOY: Sisi tutachukua mtaa mzima Oysterbay, kila wiki tutaishi nyumba tofauti
Halafu siku ya harusi yetu tutakodi zile meli zinabeba makontena ndiyo iwe ukumbi wetu, itatupeleka hadi Maldives
GIRL: Baby I love you
BOY: Tukitoka hapo tunaenda honeymoon Bahamasβ¦.halafu tunaenda Taiwan shopping ya fenicha, kisha Japan shopping ua electronics, halafu tunaenda Dubai nikununulie vito vya thamani
GIRL: Ooh my sweetheartβ¦halafu tukitoka huko??
BOY: Tukitoka huko nachukua ndoo ya maji nakumwagia uzinduke usingizini na ndoto yako imeishia hapo
Huyu panya wa tatu ni noma
π π πΒ Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi
Panya 1:Β jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya panya) mara tatu na sijadedi !!!
Panya 2Β Wewe unasema nini, mimi nimekula nyama ikiwa
kwa mtego mara 5 nasijawahi dakwa
RAT 3Β Mmemaliza? Mie hata sijui mnabishana nini? Mimi hii mimba niliyo nayo ni ya paka !!!
Panya WA 1 na 2 wakazimiaπππππ
Panya wa 3 huwa hapendi ujinga kabisa
Njia za kutibu shinikizo la chini la damu au presha ya kushuka
πKutibu shinikizo la chini la damu kwa kutumia maji chumvi
Kunywa Maji yenye chumvi husaidia kutibu shinikizo la chini la damu sababu sodiamu iliyomo kwenye chumvi hupandisha juu shinikizo la damu. Usizidishe dawa hii kwa sababu chumvi nyingi kuzidi ina madhara kiafya.
Matumizi:
Changanya nusu kijiko cha chai cha chumvi ndani ya maji glasi moja (robo lita) na unywe mchanganyiko huu mara 1 au 2 kwa siku
πMatumizi ya kahawa kutibu presha ya kushuka au shinikizo la chini la damu
Kahawa husaidia kuongeza presha au shinikizo la damu. Unashauriwa Kunywa kikombe kimoja cha kahawa kunaweza pia kusaidia kupandisha shinikizo lako la damu kwa muda.
Kama unapatwa na kushuka kwa shinikizo la damu mara kwa mara basi kunywa kikombe cha kahawa asubuhi au unywe wakati unakula cha mchana na cha jioni.
Usizidishe matumizi ya kahawa kwakuwa kahawa ina madhara mabaya kwa afya ya mwili kwa ujumla.
πMatumizi ya zabibu kavu kutibu shinikizo la chini la damu
Zabibu huweza kutumika kama tiba ya shinikizo la chini la damu kama ifuatavyo
1. Chukua zabibu kavu Loweka zabibu 30 mpaka 40 ndani ya kikombe cha maji kwa usiku mzima.
2. Asubuhi kabla ya kula wala kunywa chochote kula zabibu moja baada ya nyingine na unywe pia maji yake
3. Rudia zoezi hili kila siku kwa majuma kadhaa hata mwezi.
πMatumizi ya Tangawizi kutibu shinikizo la chini la damu
Hatua za kufuata
- Chukua Kijiko kikubwa kikubwa cha tangawizi mbichi iliyoparuzwa
- Changanya na Kikombe kimoja cha maji ya moto
- Chemsha katika moto kwa dakika 12 hivi
- Kisha ipua na uchuje
- Ikipoa kidogo kunywa yote,
- fanya hivi mara 2 kwa siku kila siku
πMatumizi ya Mrehani (basil) kutibu presha ya kushuka
Hii ni dawa nzuri ya kutibu shinikizo la chini la damu sababu ya kuwa na kiasi kingi cha vitamini C, magnesiamu na potasiamu, vilevile dawa hii husaidia kuweka sawa akili na kuondoa msongo wa mawazo (stress).
Matumizi
- Chukua majani 10 mpaka 15 ya mrehani mbichi
- Saga au twanga kupata maji maji yake (juisi).
- Weka asali kijiko kidogo kimoja ndani yake.
- Kunywa mchanganyiko huu kila siku asubuhi ukiamka tu tumbo likiwa tupu.
Vile vile unaweza kutafuna tu moja kwa moja majani kadhaa ya mrehani kila siku asubuhi.
πMatumizi ya karoti na asali kutibu presha ya kushuka
Hatua za kufuata
1. Tengeneza glasi moja ya juisi ya karoti
2. Weka vijiko vikubwa viwili vya asali ndani yake na kisha changanya vizuri
3. Kunywa yote asubuhi tumbo likiwa tupu na jioni glasi nyingine kwa majuma kadhaa
πMatumizi ya maji kutibu shinikizo la chini la damu
Matumizi ya maji ya kunywa ni moja ya dawa rahisi kabisa ya shinikizo la chini la damu.
Hii ni kwa sababu Maji ni mhimu kwa kila ogani ndani ya mwili iweze kufanya kazi zake sawa.
Kwa hiyo sababu kuu ya mtu kuwa na shinikizo la chini au hata la juu ni matokeo ya mishipa ya damu kutokuwa na vimiminika vya kutosha.
Mishipa ya damu imeundwa kwa maji maji ya damu (serum) na seli za damu.
Maji yanapopungua kwenye mwili hata vipenyo vya mishipa yako navyo hupungua ukubwa wake jambo linaloleta kushuka kwa shinikizo la damu.
Matatizo yote haya ni matokeo ya kutokunywa maji ya kutosha kila siku.
Kwa sababu hii, ili kupandisha juu shinikizo la damu unahitaji kunywa zaidi maji sambamba na juisi nyingine za matunda au za mboga mboga kila siku.
Hii inasaidia kuongeza vimiminika katika mishipa ya damu.
πMatumizi ya juisi ya limao kutibu shinikizo la chini la damu
Juisi hii ni nzuri sana katika kutibu shinikizo la juu la damu.
Lakini inaweza pia kutumika kutibu shinikizo la chini la damu hasa ikiwa hili shinikizo la chini la damu limesababishwa na upungufu wa maji mwilini (dehydration).
Kutibu shinikizo la chini la damu unaweza kuchanganya juisi ya limau na chumvi kidogo na sukari au unaweza kutumia maji maji ya miwa.
πUlaji mzuri hupunguza uwezekano wa kupata shinikizo la chini la damu
Ni mhimu kula mlo kamili kila siku. Kula lishe duni kunaweza kupelekea kuzalishwa kwa damu isiyo na afya inayoleta shinikizo la damu.
Kula zaidi vyakula vyenye protini, vyenye vitamini B na C kwa wingi. Kula milo midogo midogo hata mitano kuliko kula miwili au mitatu lakini ya nguvu sana.
Unaweza kutumia kitunguu swaumu hasa kibichi ukitafuna punje 2 kila unapoenda kulala kadharika glasi moja ya juisi ya ubuyu kutwa mara 1.
Acha vilevi vyovyote mara tu unapogundulika na shinikizo la chini la damu. Epuka pia vyakula vyenye wanga sana kama tambi, mikate, viazi, wali nk
Upungufu wa baadhi ya vitamini hasa vitamini za kundi B na madini kunaweza pia kuleta shinikizo la chini la damu. Hivyo ili kudhibiti shinikizo la chini la damu unahitaji kula mlo sahihi kila siku.
πMatumizi ya Lozi na maziwa kutibu shinikizo la chini la damu
Unaweza kutumia Lozi na maziwa kutibu shinikizo la chini la damu kama ifuatavyo;
- Loweka lozi 5 mpaka 6 kwenye kikombe cha maji kwa usiku mmoja
- Asubuhi menya hizo lozi na uzisage
- Chukua hizo lozi ulizosaga na uweke ndani ya kikombe cha maziwa
- Chemsha mchanganyiko huu kwa dakika kadhaa
- Kunywa kinywaji hiki kila siku asubuhi
Madhara ya kisukari kwa nguvu za kiume
Kulingana na baadhi ya chunguzi zilizofanywa na wanasayansi asilimia 60 β 70 ya wanaume hupoteza nguvu za kiume kutokana na ugonjwa wa kisukari.
Sababu ni ngumu sana kuelewa lakini hutokana na mabadiliko ya mwili ambayo hutokea baada ya mtu kupata kisukari.
Ukiachana na kupata hamu ya kufanya tendo la ndoa mara kwa mara unatakiwa kuwa na mtiririko mzuri wa damu kwenye mishipa ya uume ili uweze kusimamisha uume kwa muda mrefu.
Unahitaji mishipa ya fahamu yenye afya na pia unahitaji homoni za kiume zakutosha.
Ugonjwa wa kisukari husababisha kudhoofu kwa mishipa ya damu, misuli pamoja na mishipa ya fahamu.
Uharibifu huu hupelekea mwanaume kupoteza uwezo wa kusimamisha uume kwa muda mrefu na baadae husababisha kushindwa kusimamisha uume kabisa.
Lakini pia ugonjwa wa kisukari hupelekea maradhi ya moyo na kusababisha matatizo makubwa mwilini.
Maombi Saba Yaliyo Katika Sala ya Baba yetu
- Jina lako litukuzwe
- Ufalme wako ufike
- Utakalo lifanyike
- Utupe leo Mkate wetu wa Kila Siku
- Utusamehe makosa yetu
- Usitutie katika kishawishi
- Utuopoe maovuni
CleanUp 48 SL: Dawa Maalumu ya Kuua Magugu sumbufu. Dawa ya kuandalia Shamba. Haichagui Aina ya Majani.
Ina Glyphosate isopropylamine salt 480g/L

Hii ni dawa maalumu Kwa ajili ya kuulia Magugu. Ni dawa ya kuandalia Shamba.
Dawa hii inaangamiza Magugu Aina zote shambani. Sio Kwa ajili ya palizi.
Imetengenezwa katika Ubora wa Hali ya Juu Ili kukuhakikishia matokeo mazuri unapotumia dawa hii.
Bidhaa hii inaletwa Kwako na Kampuni ya BareFoot International Limited. Wauzaji na wasambazaji wa bidhaa Bora za Kilimo Tanzania.
Mawasiliano
Simu:
+255 756 914 936
β
WhatsApp:
+255 756 914 936
β
Email:
info@bfi.co.tz
β
NB: Tunapatikana Mikoa Yote Tanzania
Lugha za namba ni noma
Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ 21002Β Nikawa mkali nikamuambia kuchajia mara moja tu ndio HELA yote hio si bora nikanunue Chaja yangu mpya. Akaniambia nimesema TUMIA TU ππmtatuua na lugha zenuπ
Sitasahau mwaka huu
Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja maarufu. Wakati nasubiri majibu siku moja nikaenda kwa mama ntilie kununua maandazi akanifungia vizuri, kufika nyumbani hamu yote ya maandazi iliniishia pale nilipogundua karatasi iliyofungiwa maandazi ni barua yangu ya kuombea kaziππ
Wasichana wafupi wanafurahisha
Wasichana wafupi wananifurahisha sanaβ¦. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekundu huwa wanakuwa kama Fire extinguishers au mitungi ya Oryx πππππ
Dondoo muhimu za afya
Tafadhali soma na uwapelekee wengine.
Dr. Chriss Mosby wa Tanzania amegundua kensa mpya kwa binadamu inayosababishwa na Silver Nitro Oxide. Unaponunua kadi ya simu usiichune kwa kucha kwani imo hiyo Silver Nitro Oxide na inaweza kusababisha kensa ya ngozi. Watumie ujumbe huu wale uwapendao.
Nukuu muhimu za afya
- sikiliza simu kwa sikio la kushoto.
- usimeze dawa na maji baridi
- usile chakula kizito baada ya saa kumi na moja jioni.
- kunywa maji mengi asubuhi na kidogo usiku.
- wakati mzuri wa kulala ni kuanzia saa nne hadi kumi usiku. usilale mara baada ya kula dawa au chakula.
- ikiwa chagi imebakia kijino cha mwisho usipokee simu kwani mionzi inakuwa na nguvu kwa mara 1000 zaidi.
unaweza kuwatumia haya wale unaowajali?
Mie nimeshafanya.
Huruma haigharimu kitu lakini elimu ni nuru.
MUHIMU
Jumuiya ya uchunguzi ya marekani imetoa majibu mapya. Usinywe chai kwenye vikombe vya plastic. Na usile Chochote kwenye mifuko ya plastic. Plastic ikikutana na joto inatoa vitu vinavyo sababisha aina 52 za kensa. Kwa hiyo ujumbe huu ni bora kuliko mijumbe 100 isiyo na maana. Tafadhali wapelekee unaowajali.
Mafundisho kuhusu Binadamu, Mtu na Utu
Mungu alisema nini alipotaka kumuumba mtu?
Mtu ni nani?
Tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu maana yake ni nini?
Watu wa kwanza kuumbwa na Mungu ni akina nani?
Mungu alimwumbaje Adamu?
Mungu alimwumbaje Eva (Hawa)?
Kwa nini Mungu alituumba? Kwa nini Mungu aliumba mtu?
Ni kipi cha kutunza kwa makini zaidi kati ya mwili na roho yako?
Mungu aliwapa watu wa kwanza mapaji gani?
Mungu aliwaamuru nini watu wa kwanza?
Je, Adamu na Eva walimtii Mungu?
Dhambi ya asili ndio nini?
Adhabu gani walipewa Adamu na Eva?
2. Walifukuzwa paradisini
3. Walipungukiwa akili na kushikwa na tamaa ya kutenda dhambi
4. Walipitia mahangaiko na taabu nyingi
5. Kupaswa kufa. (Mwa 3:16-20: 5:5)
Kisha kosa la Adamu na Eva Mungu aliahidi nini?
Alipokwisha umba watu Mungu aliwafundisha nini?
Dini ni nini?
Mungu alinena na nani?
2. Musa na Manabii
3. Mwishowe Mungu alimleta mwanawe atufumbulie kabisa dini. (Waebr 1:14-45)
Baada ya kifo cha mtu nini hutokea?
Matokeo ya hukumu hiyo ni nini?
Ikiwa Mungu anatushughulikia, tunapaswa kufanya nini?
Kwa kuwa tumetoka kwa Mungu na tutarudi kwake, tunapaswa kuishi vipi?
Tunaanzaje kumjua Mungu?
Je, Mungu amewasiliana nasi?
Mungu ametufunulia nini?
Mungu akiwa wema mkuu na mwenye uwezo wote, mbona katika viumbe vyake kuna ubaya? Kwa nini Mungu anaruhusu mabaya na maovu?
Kwa nini dhambi zipo?
Viumbe vyenye hiari ni vipi?
Malaika na watu wanaweza kuchagua hata nini?
Sisi binadamu tukoje?
Je, mwili wetu ni muhimu?
Mungu aliwahi kujifunua kwa watu gani?
Je, Mungu aliumba watu wa kwanza katika hali ya mateso na mauti tuliyonayo sasa?
Mungu angeweza kuzuia watu wasitende dhambi?
Je, toka mwanzo sisi watu tunaasi mpango wa Mungu peke yetu?
Dhambi zimetuathiri vipi tena?
Katika unyonge wetu tutumainie nini?
Yesu ni Mungu au mtu?
Yesu ni Mungu na mtu kwa pamoja, ndiyo sababu ni mshenga pekee kati ya Mungu na watu. βKwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, mwanadamu Kristo Yesuβ (1Tim 2:5). βKatika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi ya kimwiliβ (Kol 2:9). Hivyo ni Mungu kweli na mtu kweli.
Yesu anapatikana wapi? Yesu anakaa wapi? Yesu Yupo wapi kwa sasa?
Yesu kama Mungu yupo kila mahali, hakuna mahali asipokuwepo. Yesu kama mwanadamu yupo Mbinguni kwa Baba na anakaa nasi duniani katika Maumbo ya Mkate na Divai Katika Ekaristi.
Je, Umungu na utu wa Yesu vinachanganyikana?
Je, Mwana wa Mungu tangu atwae mwili ni mtu kamili mwenye akili na utashi wa kibinadamu?
Kwa nini Yesu alishawishiwa/alijaribiwa na Shetani?
Tutakapofariki dunia itatutokea nini?
Je baada ya kufa ni hapo hapo roho inaenda motoni au mbinguni, Au ni mpaka Siku ya hukumu Yesu Atakaporudi?
Je, mwili utakaofufuliwa ni huuhuu tulionao sasa?
Haki gani ya Binadamu ni ya msingi kupita zote?
Hamu kuu ya binadamu ni ipi?
Mapishi ya viazi mbatata Vya Nazi Kwa Nyama Ya Ng’ombe
Mahitaji
Mbatata / viazi – 2 kilo
Nyama ngβombe – Β½ kilo
Kitunguu maji – 2
Tungule/nyanya – 2
Nazi /tui zito – 2 vikombe
Kitunguu saumu(thomu/galic) ilosagwa – 1 kijiko cha supu
Tangawizi mbichi ilosagwa – 1 kijiko cha supu
pilipili shamba/mbichi ilosagwa – kiasi
Mdalasini – 1 kipande
Bizari ya manjano – Β½ kijiko cha chai
Bizari ya pilau/jiyrah/cummin – Β½ kijiko cha chai
Ndimu/limau – 1
Namna Ya Kupika:
Chemsha nyama kwa kutia; chumvi, tangawizi, kitunguu thomu, mdalasini, na bizar zote.
Ipike nyama mpaka iwive na ibakishe supu yake kidogo.
Changanya tui la nazi pamoja na supu ilobakia.
Panga mbatata katika sufuria.
Tia nyama
Mwagia vitunguu na nyanya ulizotayarisha, tia pilipili.
Mwagia supu ulochanganya na tui
Funika upike mpaka viwive .
Tia ndimu
Mambo ya kufanya mwezi Disemba
Ikiwa leo ni tarehe **1/12 huwezi amini kuwa hakuna tarehe 1 nyingine tutakayoiona ya mwaka huu hivyo sichelei kusema kuwa mwaka umeisha .Lakini mwaka unaishaje??? pengine hili ndilo swali gumu na la muhimu la kujiuliza .Je, Mwaka unaisha ukiwa umefanya nini cha kujipongeza??? .Je mwaka unakaribia kuisha maarifa yako yakiwa yameongozeka kwa kiasi gani???.Haya ni maswali muhimu sana unavyooanza kufikiria juu ya sherehe za mwisho wa mwaka.
Watu waliopiga hatua katika fikra β yaani, wale waliofanikiwa kutimiza malengo na mipango waliyojiwekea β wanajikuta katika kipindi cha kipekee ifikapo mwezi huu. Ni wakati ambao wanapaswa kuchukua muda na kutafakari kwa kina juu ya safari yao ya mwaka uliopita. Huu si tu wakati wa kuzingatia mafanikio na mafunzo, bali pia ni kipindi cha kulinganisha matarajio yaliyokuwa yamewekwa dhidi ya yale yaliyotimia.
Kurudi kwenye malengo yaliyowekwa hapo awali ni zoezi la muhimu linaloleta tafakuri juu ya uendelevu na ufanisi wa mikakati iliyotumika. Watu hawa wanaweza kujiuliza maswali kama, je, malengo yalikuwa yanatekelezeka? Je, walikutana na changamoto gani, na walizishinda vipi? Changamoto hizi zinaweza kuwa za ndani kama vile kutunza motisha, au za nje kama vile mabadiliko ya kiuchumi na kijamii yaliyokuwa yameshuhudiwa.
Inawezekana pia walikuwa na malengo ambayo hayakutimia. Katika hili, kuna fursa ya kujifunza na kuchukua hatua za marekebisho. Mwisho wa mwaka ni muda mwafaka wa kutathmini upya na kuweka mikakati mipya, kuondoa yaliyopitwa na wakati na kuja na mawazo mapya yatakayowasukuma mbele zaidi. Uchambuzi wa kina utawasaidia kuweka malengo yanayoweza kutekelezeka kwa mwaka unaofuata pamoja na kutengeneza mpango kazi madhubuti ambao utawaongoza katika hatua zao zijazo.
Kwa kuangalia nyuma na kufanya tathmini yenye unyoofu, waliopiga hatua katika fikra wanaweza kupata msingi imara wa kujenga juu yake. Wanaweza kujitathmini na kujipanga upya, kuchukua mwelekeo wenye nguvu na mpya ambao utawawezesha kutimiza malengo yao yaliyosasishwa na yaliyo wazi zaidi. Kila hatua, kila mafanikio, kila funzo, yote huchangia katika safari yao ya kipekee ya maendeleo binafsi na ya kitaaluma.
Leo nataka nikuekeze mambo muhimu ya kufanya mwezi huu pamoja na kuwa unawaza sikukuu na kusafiri kwenda kwenu .Mambo haya unaweza kuwa hujawahi kufanya lakini ni muhimu sana ukafanya mwaka huu ili mwakani tuone mabadiliko .Mambo hayo ni pamoja na ;
1.Fanya Tathimini (Evaluation)
Tathimini ni kipimo kinachoonesha kushindwa kwako na kufanikiwa kwako .Mwezi huu ni mwezi wa kukaa chini na kurejea kwenye malengo na mikakati uliyokuwa umejiwekea na kuona ni kwa jinsi gani umefanikiwa .Ainisha mambo uliyofanikiwa na ambayo hujafanikiwa .Kwa yale uliyofanikiwa jipongeze kwa kufanikiwa kwa yale ambayo hujafanikiwa jiulize kwanini hayajafanikiwa ili yakupe mbinu na hatua mpya mwaka ujao.
Andika kwa mtindo huu;
SEHEMU A:MAMBO NILIYOFANIKIWA HUU
-Mwaka huu nilifanikiwa kuwapata marafiki wazuri wanaounga mkono maono yangu
-Mwaka huu nilifanikiwa kuanzisha biashara ya genge
-Mwaka huu nilifanikiwa kusoma vitabu viwili
*Jitihidi sana kujipongeza kwa yale uliyofanikiwa na hii ni tabia ya watu waliofanikiwa .Usione umefanya madogo lahasha.*
SEHEMU B:MAMBO AMBAYO SIKUFANIKIWA mwaka huu
-Sikufanikiwa kuhudhuria semina hata moja ya ujasiriamali
-Sikufanikiwa kuboresha ofisi
Kwa yale ambayo hukufanikiwa jiulize kwanini hukufanikisha utagundua wewe ndiye sababu kubwa ya kutoyafanikisha .
2.Anza kuandaa malengo ya mwaka ujao (GOAL SETTING)
_Pasipo maono, watu huacha kujizuia_
~(Biblia)
Ndiyo bila malengo hutafika na utafanya kila kitu bila mpangilio .Huu ndio mwezi kwako ambao unapaswa kuandaa malengo ya mwaka ujao haijalishi hukuwahi kuweka malengo toka unazaliwa .Najua malengo yako yalikuwa yanakaa kichwani mwaka huu amua kuandika kwenye notebook Nzuri .Andika kwa ujasiri mkubwa sana .Malengo yako yafuate kanuni za malengo(yapimike,yawe na ukomo,yawe mahususi na yakufikika ).
Andika kwa mfano huu;
-Kufikia Mei nitakuwa nimefuga kuku watatu hata kama nyumba yangu ni ndogo .
-Kufikia Agosti nitakuwa nimehudhuria semina 2 za ujasiriamali
Ukiandika kwa mfumo huo itakusaidia kuyafikia malengo yako maana yamefuata kanuni za malengo.
3. Andaa Bajeti ya mwaka (Budgeting)
Hii ni sehemu ambayo inaleta shida sana .Na hii ni kwa sababu hata wazazi wetu wametulea bila kutufundisha bajeti.Masomo ya darasani wengi hatufundishwi kuishi kwa bajeti .Lakini Tusilaumu sana kutofundishwa maana lawama ni tabia ya kimaskini tuamue mwakani 2017 kuishi na kutembea na bajeti
Mara nyingi tukiulizwa hela zetu zinaenda wapi huwa hatuna majibu sahihi .Hii ni kwasababu hatuna bajeti .Kwanini bajeti??? .Bajeti hutusaidia kupunguza matumizi yasiyo ya lazima na yaliyo nje ya bajeti .Bila bajeti sehemu ya kutembea kwa mguu utapanda bodaboda .Bila bajeti utanunua simu ya laki saba wakati unasema huna mtaji wa laki sita.Bajeti itaamua uchangie harusi na kitchen party ngapi kwa mwaka.
Ndiyo lazima tubadilike hata mimi nimeamua hivyo mwaka ujao.Kama una familia kaa na mke wako tengeneza bajeti ya mwaka.Kuna vitu vinaweza kujitokeza njiani na hivyo kumbuka kuweka dharura .
Bajeti iliyopangwa kwa mwaka ujao ni kama ramani inayoonesha njia ya malengo na maelekezo ya kifedha ambayo shirika au mtu binafsi anapaswa kufuata. Inatoa muhtasari wa kina kuhusu matarajio ya mapato na matumizi, na hivyo kumwezesha mtu au shirika kupanga kwa ufanisi zaidi juu ya rasilimali zake. Kuweza kwenda sambamba na bajeti hii, mtu au shirika linahitaji kuelewa vizuri vipaumbele vyake na kuweka mipango thabiti kwa kila sehemu ya matumizi au uwekezaji.
Katika kuhakikisha ufanisi, ni muhimu kwa shirika kuwekeza nguvu katika upangaji wa bajeti ulio sahihi, utafiti wa masoko ili kufahamu mwenendo wa kiuchumi unaoweza kuathiri mapato na matumizi, pamoja na uboreshaji wa mbinu za usimamizi wa fedha. Ufuatiliaji wa mara kwa mara wa bajeti na utathminini wa maendeleo halisi ikilinganishwa na yale yaliyopangwa ni muhimu sana. Nguvu katika kufuatilia na kurekebisha mtiririko wa bajeti inaweza kumaanisha tofauti kati ya kufikia malengo ya kifedha au kukabiliana na upungufu.
Kuwekeza nguvu inamaanisha pia kuwa na nidhamu na ufuatiliaji madhubuti wa matumizi ya kila siku, kujifunza kutokana na takwimu na ripoti za awali za fedha, na kujitayarisha kukabiliana na changamoto zinazoweza kujitokeza. Mwisho, uwekezaji katika mafunzo kwa wafanyakazi wanaoshughulikia fedha na matumizi inaweza kuongeza ufanisi na kuimarisha uzingatiaji wa bajeti iliyowekwa.
Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani
Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEKUAJE?
Chz akajbu: ”HATA CJUI NA MIE NDO NAFIKA SASA HIVI
Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema
WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO
MLEVI 1Β hivi rafiki yangu china ni mbali kweli
MLEVI 2Β sidhani mbona pale kazin kuna mchina anakuja na baiskeli
πππππ
Maswali yanayoulizwa sana kuhusu Ibada ya Kanisa Katoliki
Masifu ni nini?
Ishara ndogo ya Msalaba juu ya panda la uso, mdomo, na kifua kabla ya Injili ina maana gani?
Kwa nini wakatoliki wanaweka sanamu Kanisani?
Sanamu au picha sio haramu bali maana ya hiyo sanamu au picha ndio inaiharamisha.
Tofauti ya Sanamu za Kikatoliki na za kipagani ni Kwamba,
Sanamu za Kipagani: Sanamu hizi huchukuliwa kama Mungu na huabudiwa na kutolewa Sadaka kama Mungu Mwenyewe.
Sanamu za Kikatoliki: Sanamu hizi huchukuliwa kama ishara ya kile inachokiwakilisha, haiabudiwi kamwe bali inaheshimiwa tuu.
Jifunze kupitia Sanduku la Agano na Msalaba wa Yesu
Kwa nini tunasali mbele ya Picha/Sanamu na Hasa kufanya Ishara ya msalaba?
Kwa nini watu wanabusu picha na sanamu?
Tumuadhimishe nani?
Je, tumuadhimishe Mungu katika Nafsi zake tatu pia?
Tumuadhimishe Mungu kwa jinsi alivyo au kwa maajabu anayotutendea?
Tumuadhimishe Mungu hasa kwa maajabu gani?
Tumuadhimishe Mungu kwanza kwa njia gani?
Je, ibada zetu ziishie katika kusadiki?
Kanisa linaitaje ibada hizo tulizoagizwa na Yesu?
Je, tuishie katika kusadiki na kuadhimisha mafumbo?
Matendo yetu yasipomtukuza Mungu, maana yake nini?
Mungu ametuagiza matendo maalumu ya ibada kwa sababu gani?
Je, hisi zetu zote zinaweza kutumika kuadhimishia mafumbo?
Kwa nini maneno ndiyo muhimu zaidi kuadhimishia mafumbo?
Ishara za mafumbo zimetokana na nini?
Maneno na ishara kwenye ibada vinaweza kubadilishwa na nani?
Faida ya kupanga taratibu za ibada ni ipi?
Mhusika mkuu wa mafumbo hayo ni nani?
Sisi tunahusika na mafumbo hayo kama nani?
Tunapoadhimisha mafumbo hayo, Mungu anatukuzwa vipi?
Je, mafumbo yote saba yanazaa matunda yaleyale?
Tushiriki mafumbo hayo mara ngapi?
Je, mafumbo yote yanaweza kuadhimishwa na yeyote?
Je, tunapoadhimisha mafumbo hayo tuko peke yetu?
Je, kuna nyakati za kufaa zaidi kumuadhimishia Mungu?
Je, kuna mahali pa lazima pa kumuadhimishia Mungu?
Hekalu ndiyo nini?
Yesu aliheshimu na kutakasa hekalu pekee la taifa lake kama βnyumba ya Babaβ yake (Yoh 2:16), lakini alitabiri kuwa litabomolewa moja kwa moja, na kuwa watu watapaswa kuabudu ndani yake aliye hekalu hai. βWayahudi walisema, βHekalu hili lilijengwa katika muda wa miaka arobaini na sita, nawe utalisimamisha katika siku tatu?β Lakini yeye alinena habari za hekalu la mwili wakeβ (Yoh 2:20-21).
Je, sanaa zinafaa kumuadhimishia Mungu?
Kati ya sanaa kwenye ibada/kumuadhimisha Mungu, muhimu zaidi ni ipi?
Kuimba wakati wa ibada ni kazi ya nani?
Katika kutumia sanaa kwa ibada tuzingatie nini?
Je, ni halali kuheshimu sanamu?
Wakati wa ibada tuvae vipi?
Mbali ya sakramenti, Kanisa linamuadhimisha Mungu vipi?
Kanisa linamuadhimishaje Mungu tena?
Maana ya baraka ni ipi?
Mazinguo ndiyo nini?
Je, ni halali kwa Wakristo kujitungia ibada nyingine?
Ni halali kujitungia ibada kwa sababu gani?
Ikiwa sala ni maongezi ya Mungu na mtu, kwanza tufanye nini?
Kielelezo cha sala yetu ni nani?
Kama binadamu Yesu alijifunza kusali kwa nani?
Mapishi ya Bagia dengu
Mahitaji
Unga wa dengu (gram flour 1/4 kilo)
Kitunguu kilichokatwa (onion 2)
Hoho (green pepper 1/2)
Pilipili iliokatwakatwa (scotch bonnet pepper 1/2)
Barking powder (1/4 ya kijiko cha chai)
Chumvi (salt)
Kitunguu swaum (garlic cloves 2)
Mafuta ya kukaangia (vegetable oil)
Binzari manjano (turmeric 1/4 ya kijiko cha chai)
Matayarisho
Changanya unga, chumvi, binzari, barking powder kwanza kisha weka maji kiasi na vitu vyote vilivyobakia (isipokuwa mafuta) na ukoroge vizuri kuhakikisha unga hauna madonge.Hakikisha unga hauwi mzito wala mwepesi sana. Kisha uache kwa muda wa dakika 20. Baada ya hapo choma bagia katika mafuta. Ukiwa unachoma hakikisha bagia zinakuja juu ya mafuta na hazigandi chini. Ikitokea zinaganda chini hapo itakuwa umekosea kitu. Pika mpaka ziwe za light brown kisha zitowe na uziweke katika kitchen towel ili zikauke mafuta na hapo zitakuwa tayari kwa kuliwa.
I’m so happy you’re here! π₯³












































































Recent Comments