AHADI 15 ZA ROZARI TAKATIFU
Mama Bikira Maria alitoa ahadi 15 kwa yule au wale watakaosali Rozari takatifu kila siku. …
AHADI 15 ZA ROZARI TAKATIFU Read More »
Endelea Kusoma »Mama Bikira Maria alitoa ahadi 15 kwa yule au wale watakaosali Rozari takatifu kila siku. …
AHADI 15 ZA ROZARI TAKATIFU Read More »
Endelea Kusoma »Kila kitu ni mali ya Mungu.
Kuwa na Mungu ni kuwa na kila kitu.
Hata mimi mwenyewe ni mali ya Mungu.
Endelea Kusoma »Kanisa katoliki linamthamini Bikira Maria kama Mama wa Mungu, Mama wa Kristu, Mama wa Mkombozi …
Nafasi ya Bikira Maria Katika Kanisa Katoliki Read More »
Endelea Kusoma »1.Kila saa moja tunayotumia kuabudu, inafurahisha moyo wa Yesu na hivyo majina yetu huandikwa mbinguni …
Faida ya kuabudu Ekaristi Takatifu Read More »
Endelea Kusoma »1.Kumdhuru baba mtakatifu kimwili mfano:kumpiga au kumtemea mate 2.Kukufuru Ekaristi Takatifu mfano kutema na kuchezea …
Endelea Kusoma »Ufunuo 12:1717Kisha lile joka likapatwa na hasira kali kwa ajili ya huyo mwanamke, likaondoka ili kupigana …
Biblia inavyothibitisha kuwa Bikira Maria Mama wa Yesu ni Mama wa Wakristu Wote Read More »
Endelea Kusoma »Bwana Yesu mwenyewe kwa kutumia kinywa cha Mtakatifu Margareta Maria Alakoki aliahidi Baraka na neema …
Ahadi kumi na mbili za Moyo Mtakatfu wa Yesu Read More »
Endelea Kusoma »Mungu ndiye Muumba wa vitu vyote, katika mbingu na nchi, Mkubwa wa Ulimwengu mwenye kuwtunza …
Mungu ni nani? Sifa za Mungu Read More »
Endelea Kusoma »Watu wawili👬 walikuwa wanakunywa pombe🍺🍻 baa. Wakati wanakunywa wakaanza kubishana🙅🏾♂ na baadaye ule ubishi ukawa ugomvi.
Mmoja akamrukia mwenzake akaanza kumpiga. Baada ya kumpiga kwa muda mrefu akagundua kuwa mwenzake hapumui tena.
Kumbe amemwua mwenzie.😰
Endelea Kusoma »1. Kutushawishi tuache kusali maaana njia kuu ya mawasiliano kati yetu na MUNGU.Hivyo akifanikiwa hapo kwisha habari yako
2. Kufanya umwogope shetani na nguvu zake kuliko unavyompenda MUNGU. Wakristo wengi leo hii husali na kuomba kwa nguvu mno siyo sababu wanampenda MUNGU mno hapana ni sababu wanamwogopa shetani na majeshi yake
Endelea Kusoma »