Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute kingine… bangi lilikuwa limemkolea… akazungukazunguka hatimaye akarudi palepale kijiweni…
MSHIKAJI: oyaaa wanangu eeeh… niazimeni kiberiti mwanangu mwenyewe …..
WENZAKE: baharia ee subiria kimtindo kuna mwana tumemtuma akatafute kiberiti.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😄 Umeshinda mtandao leo!
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! 😄
😊😂😅👏
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! 😆👏
Hizi jokes ni za ukweli! 😆👍