🐀 🐀 🐀 Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi
Panya 1: jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya panya) mara tatu na sijadedi !!!
Panya 2 Wewe unasema nini, mimi nimekula nyama ikiwa
kwa mtego mara 5 nasijawahi dakwa
RAT 3 Mmemaliza? Mie hata sijui mnabishana nini? Mimi hii mimba niliyo nayo ni ya paka !!!
Panya WA 1 na 2 wakazimia😆😆😆😆😆
Panya wa 3 huwa hapendi ujinga kabisa
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi
Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu
Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama
Ni wazo tuu!
Huyu mama mkwe kazidi sasa
Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani
Huyu mke ni shida!
Cheki hawa wachungaji