Karibu AckySHINE
Karibu AckySHINE
Chagua Unachotaka Kusoma Hapa
Unahakikishiwa kusoma kitu kipya kizuri kila saa unapotembelea ukurasa huu.
Mapishi ya Boga La Nazi
Vipimo
Boga la kiasi – nusu yake
Tui zito la nazi 1 ยฝ gilasi
Sukari ยฝ kikombe
Hiliki ยฝ kijiko cha chai
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Menya boga kisha katakata vipande vya kiasi.
Weka katika sufuri tia maji kiasi ya kuchemshia na kuwiva bila ya kubakia maji mengi.
Changanya tui na sukari na hiliki kisha mimina juu ya boga wacha katika moto dakika chache tu bila ya kufunika.
Epua mimina katika chombo likiwa tayari.
Umakini
UMAKINI ni siri kuu ambayo wenye akili wote, wasomi na wanasayansi wanaitegemea.
Mapishi ya wali wa mboga
Mahitaji
Wali uliopikwa (cooked rice) kiasi
Hoho la kijani (green pepper) 1/2
Hoho jekundu (red pepper) 1/2
Carrot 1
Kitunguu kikubwa (onion) 1
Njegere (pears) 1/2 kikombe cha chai
Mayai (eggs) 2
Uyoga (mushroom) 2 vikombe vya chai
Soy source 2 vijiko vya chakula
Chumvi (salt) kiasi
Mafuta (veg oil) 3 vijiko vya chakula
Matayarisho
Katakata hoho, kitunguu,na uyoga vipande vikubwa kiasi(chunks) kisha katakata carrot zisiwe nene au nyembamba sana. Baada ya hapo weka mafuta katika katika frying pan yako isiyoshika chini acha yapate moto kisha tia uyoga na ukaange mpaka uive.Baada ya hapo tia vegetable zote na uzikaange pamoja na uyoga kwa muda wa dakika 2, kisha katika hiyohiyo frying pan zisogeze vegetable zako pembeni (ili kupata nafasi ya kukaangia mayai).Yakaange mayai katika hiyo sehemu yakiisha iva yavuruge na kisha yachanganye pamoja na vegetable na kisha tia chumvi kidogo sana. Baada ya hapo malizia kwa kutia wali na soy source kisha koroga vizuri mpaka mchanganyiko wako wote uchanganyike vizuri (hakikisha wali unapata moto na vegetable haziivi sana) . Na baada ya hapo chakula chako kitakuwa tayari.
Tafakari ya leo kuhusu Uaminifu
Uaminifu ni kipimo na kigezo cha Ukamilifu na Utakatifu.
Uaminifu ni ishara ya Upendo na tunda la uvumilivu
Uaminifu ni alama ya ushirika na Umoja
Upendo haukamiliki bila Uaminifu.
Ni kwa kiasi cha Uaminifu wako Mungu atakuhukumu
Kama unaweza kuwa mwaminifu katika jambo dogo basi hata Makubwa utakua mwaminifu.
Uaminifu: Kipimo na Kigezo cha Ukamilifu na Utakatifu
Uaminifu ni kipimo na kigezo cha ukamilifu na utakatifu katika maisha ya kiroho. Katika safari yetu ya kiroho, uaminifu ni msingi muhimu unaoonyesha ubora wa uhusiano wetu na Mungu na wanadamu wenzetu. Uaminifu ni zaidi ya neno; ni mtindo wa maisha ambao unaakisi ndani na nje ya matendo yetu ya kila siku.
“Mtu mwaminifu atafurika baraka; bali afanyaye haraka kuwa tajiri hakosi ataadhibiwa.” (Mithali 28:20)
“Tena asemacho ni hiki, Kama mtu akitamani kazi ya askofu, atamani kazi njema. Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi, anayejizuia, anayeheshimika, mkaribishaji, ajuaye kufundisha.” (1 Timotheo 3:1-2)
“Uaminifu wako hudumu kizazi na kizazi; uliifanya imara nchi, nayo idumu.” (Zaburi 119:90)
Uaminifu: Ishara ya Upendo na Tunda la Uvumilivu
Uaminifu ni ishara ya upendo wa kweli na tunda la uvumilivu. Upendo wa kweli hauwezi kuwepo bila uaminifu. Ni kwa kupitia uaminifu ndipo tunathibitisha upendo wetu kwa Mungu na kwa watu tunaowapenda. Uaminifu unahitaji uvumilivu kwani mara nyingi tunakutana na majaribu na changamoto nyingi katika maisha yetu.
“Upendo huvumilia yote, huamini yote, hutumaini yote, hustahimili yote.” (1 Wakorintho 13:7)
“Basi mnapaswa kuwa na uvumilivu, ili mweze kutimiza mapenzi ya Mungu na kupokea yale ahadi.” (Waebrania 10:36)
“Katika upendo wangu nitakuimarisha. Wakati upendo wako unapokuwa imara, ndipo uaminifu wako unapokuwa thabiti.” (Hosea 2:19-20)
Uaminifu: Alama ya Ushirika na Umoja
Uaminifu ni alama ya ushirika na umoja. Katika jamii yoyote yenye mshikamano, uaminifu unachukua nafasi kubwa. Ni uaminifu unaotuwezesha kuishi kwa amani na kuelewana. Bila uaminifu, ushirika na umoja vinaporomoka, na matokeo yake ni migawanyiko na kutoelewana.
“Ni nani awezaye kukaa katika hema yako? Ni nani atakayekaa katika mlima wako mtakatifu? Ni yeye aendaye kwa ukamilifu, atendaye haki, asemaye kweli kwa moyo wake.” (Zaburi 15:1-2)
“Mimi ni mzabibu wa kweli, nanyi ni matawi. Akaaye ndani yangu, nami ndani yake, huyo huzaa sana; maana pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya neno lolote.” (Yohana 15:5)
“Tuzingatie basi jinsi tunavyoweza kuchocheana katika upendo na matendo mema, tusikose kuhudhuria mikutano yetu, kama wengine walivyo na desturi, bali tutiane moyo; na zaidi sana kwa kadri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia.” (Waebrania 10:24-25)
Upendo Hauwezi Kukamilika Bila Uaminifu
Upendo haukamiliki bila uaminifu. Uaminifu ndio unaofanya upendo kuwa wa kweli na wa kudumu. Bila uaminifu, upendo unakuwa na mashaka na hauna msingi imara. Hivyo basi, ni muhimu kuzingatia uaminifu katika mahusiano yetu yote.
“Watu wawili wawezaje kwenda pamoja, wasipokubaliana?” (Amosi 3:3)
“Upendo na uaminifu hukutana pamoja; haki na amani hubusiana.” (Zaburi 85:10)
“Kila kitu mfanyacho na kiwe kwa upendo.” (1 Wakorintho 16:14)
Mungu Atakuhukumu Kwa Kiasi cha Uaminifu Wako
Ni kwa kiasi cha uaminifu wako Mungu atakuhukumu. Uaminifu ni kipimo cha uadilifu wetu mbele za Mungu. Mungu huangalia jinsi tunavyoshughulikia majukumu yetu, madogo na makubwa, kwa uaminifu. Tunapokuwa waaminifu katika mambo madogo, tunadhihirisha kwamba tunaweza kuaminiwa na mambo makubwa.
“Yeye aliye mwaminifu katika lililo dogo, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na yeye aliye dhalimu katika lililo dogo, huwa dhalimu katika lililo kubwa pia.” (Luka 16:10)
“Bwana asema hivi, Tumaini la mtu ni Bwana, Uaminifu wake huonyesha tumaini lake kwa Mungu.” (Yeremia 17:7)
“Bwana akasema, Vema, mtumishi mwema na mwaminifu; ulikuwa mwaminifu kwa machache, nitakuweka juu ya mengi; ingia katika furaha ya bwana wako.” (Mathayo 25:21)
Uaminifu Katika Mambo Madogo na Makubwa
Kama unaweza kuwa mwaminifu katika jambo dogo basi hata makubwa utakua mwaminifu. Uaminifu unajengwa hatua kwa hatua, kuanzia mambo madogo tunayofanya kila siku. Hii ina maana kwamba tunapokuwa waaminifu katika majukumu madogo, tunajijengea msingi wa kuwa waaminifu katika mambo makubwa yanayokuja mbele yetu.
“Kuwa mwaminifu hadi mauti, nami nitakupa taji ya uzima.” (Ufunuo 2:10)
“Tuna hazina hii katika vyombo vya udongo, ili adhama kuu yawe ya Mungu, wala si kutoka kwetu.” (2 Wakorintho 4:7)
“Nawaambia kweli, kama hamjageuka na kuwa kama watoto wadogo, hamtaingia katika ufalme wa mbinguni.” (Mathayo 18:3)
Hitimisho
Uaminifu ni kipimo na kigezo cha ukamilifu na utakatifu. Ni ishara ya upendo wa kweli na tunda la uvumilivu, na ni alama ya ushirika na umoja. Mungu atakuhukumu kwa kiasi cha uaminifu wako, na kama unaweza kuwa mwaminifu katika mambo madogo, basi hata makubwa utakua mwaminifu. Kwa hivyo, tujitahidi kuishi maisha ya uaminifu katika yote tunayofanya, tukijua kwamba tunamtumikia Mungu mwaminifu ambaye daima yupo nasi, akitubariki na kutuongoza katika njia zake za haki.
Kama simu yako ina wifi
Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuย ๐๐๐๐๐๐๐๐ผ๐๐ผ๐๐ผ๐๐ผ๐๐ผ
Angalia anachokisema Madenge sasa
MWALIMU kaingia darasani na kusema. “Wanaojijua wajinga wasimame”.
MADENGE akasimama peke yake.
MWALIMU: Wewe ndio mjinga?
MADENGE: Hapana, ila nimeona umesimama peke yako nikaona usijisikie vibaya angalau tuwe wawili.
Vyakula vinavyofaa kutumiwa kwa mtu mwenye kisukari aina ya kwanza
Vyakula hivyo ni;
- Maharage
- Nyanya
- Samaki
- Mboga za majani zenye rangi ya kijani
- Matunda jamii ya machungwa
- Mafuta ya nazi
- Viazi vitamu
- Vyakula ambavyo havijakobolewa
- Maziwa yasiyo na mafuta ndani yake
- Mbegu za maboga
- Mtindi usio na mafuta ndani yake
Jinsi ya kutengeneza Biskuti Ya Keki Kavu (Shortcake)
VIAMBAUPISHI
Unga – 2 Magi (vikombe vya chai)
Sukari iliyosagwa – 2/3 Magi (kikombe cha chai)
Siagi – 220ย g
Unga wa mchele – ยฝ Magi
Yai -1
Vanilla – 1 kijiko cha chai
MAANDALIZI
Changanya vitu vyote hivyo kwenye bakuli mpaka unga ushikamane.
Paka mafuta treya ya kuchomea kisha utandaze kwenye treya ya 20cm kwa 30ย cm au (8 in kwa 12 in)
Choma kwenye moto 325หC kwa muda wa saa nzima au mpaka ibadilike kuwa rangi ya dhahabu.
Epua acha ipoe kisha kata vipande kama mstatili, weak kwenye sahani tayari kunywewa na chai.
NYONGEZA
Kwa unga huo huo unaweza kutengeneza vibiskuti vya duara duara.
Njia za kuamsha hamu ya kufanya mpenzi ya mwanamke
Njia za kuamsha hamu ya kufanya mpenzi ya mwanamke au Hatua za kufuata kuamsha hisia za mwanamke ni kama ifuatavyo
Andaa mazingira
Andaa mazingira ya kuamsha hisia zake, fanya kitu kitakachowasogeza karibu na kuamsha hisia zake Kwenye akili yake kabla ya kugusa mwili. Mfano, weka mziki au muvi nzuri n.k. Kisha tengeneza mazingira ya kuwa karibu kimwili na kugusana.
Kaa kwa kubanana naye
Unapokuwa na mwanamke ambaye umemzimia, tafuta kisababu cha kukaa na yeye karibu. Toa simu muangalie pamoja videos kama vile za kuchekesha, ama unaweza kuchukua kitabu/gazeti umuonyeshe habari ambazo anapenda ilimradi tuu muwe karibu.
Usimwonyeshe/usiongee wazi kile unachotaka
Usijaribu kutumia lugha ya kutongoza ama utamfanya aanze kukushuku. Tayari anajua kuwa miguso ya mikono yako ya mara kwa mara inaashiria kitu fulani. Kile unachotakiwa kufanya ni kuivuruga akili yake kwa kuleta mada ambayo itamvutia huku ukiendelea gusa mwili wake
Anza kutumia lugha ya kumsuka
Wakati mtakuwa mnaendelea unaweza kutumia maneno ya kumsuka lakini yawe ya kichini chini. Mfano unaweza kumwambia “Unanukia utamu”, “nimependa kitambaa cha nguo yako”,”nishawahi kukuambia kuwa macho yako yanapendeza? Nimependa vile yanang’aa nikiwa karibu yako.” Maneno kama haya unaweza kumrushia mwanamke huyu bila hata yeye kusongea mbali na wewe. Mwanzo atakuwa anapenda kuyaskia.
Isome miondoko yake
Ukianza kumuona anazungumza polepole na kukusongelea karibu yako, ishara kuu ni kuwa yupo tayari. Kwa hiyo kufikia hapa unaweza kurudia hatua za kumsuka, kumgusa na kujaribu kufikia viungo vyake vingine vya mwili ilimradi nyote wawili mnafurahia.
Mbusu
Baada ya kuandaa mudi au mazingira na kuamsha hisia zake sasa tafuta namna ya kumbusu. Mbusu taratibu kwa namna ambayo haitamshtua na kumfanya aogope au akatae.
Mhikeshike
Wakati wa kumbusu mshike mwili wake ili kuamsha hisia zake. Anza na mikono kasha rudi kichwani Kwenye nywele zake na kisha maliza sehemu nyingine za kuamsha hisia zake
Usimlazimishe bali mbembeleze
Kama hataki usimlazimishe bali mbembeleze au muache mpaka wakati mwingine atakapokuwa tayari.
NB: Ni makosa makubwa na ni dhambi kufanya mapenzi kabla ya ndoa. Mbinu hizi zitumie kwa mwenzi wako wa ndoa
Yafahamu Mambo Mbalimbali kuhusiana na Wanawake kwa Ku-Download Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE
Kitabu hiki kina topiki Zifuatazo;
1. Mambo anayohitaji mwanamke kutoka kwa Mwanaume
2. Mambo yanayowavutia wanawake kutoka kwa wanaume
3. Mambo wanayoyapenda wanawake wakati wa kufanya mapenzi
4. Dalili za mwanamke kicheche
5. Maswali ya kujiuliza kama mwanamke anakupenda kwa dhati au anakudanganya
6. Tabia za mwanamke anayekupenda lakini hawezi kusema
7. Ishara za mwanamke aliyevutiwa na wewe
8. Dalili za mwanamke anayeelekea kukukubali
9. Mambo ambayo mwanamke hawezi kukwambia
10. Njia za kudumisha na kuamsha mapenzi na mwanamke
Kitabu hiki ni Soft copy [pdf] kwa hiyo unaweza kusoma moja kwa moja kirahisi kabisa hata kwenye simu yako. Utatumiwa Kopi ya kitabu hiki kwenye email yako na utaweza kukihifadhi na kusoma wakati wowote utakaotaka.
-
Familia, Mapenzi na Mahusiano
๐Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE๐ง๐๐
Original price was: Sh7,500.Sh3,000Current price is: Sh3,000. Download Now
Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito
๐๐๐๐
MVULANA:ย Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, lakini mara zote nimekua nikitumia kinga. Inawezekanaje hii?
DAKTARI:ย Ngoja nikusimulie hadithi. Kulikua na Muindaji ambaye alikua anabeba bunduki kila aendako. Siku moja, alichukua mwamvuli badala ya bunduki na akaenda nayo. Ghafla akatokea Simba mbele yake. Ili amtishie Simba, muindaji akatumia mwamvuli na kummiminia risasi Simba. Simba akafa palepale!
MVULANA:ย Sio kweli!! Lazima kulikua na mtu mwengine pembeni aliyempiga risasi Simba.
DAKTARI:ย Nashukuru umeelewa somo!!๐
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Mapishi ya chipsi na samaki wa kuchoma
Mahitaji
Viazi ulaya (baking potato 5 vya wastani)
Parprika 1 kijiko cha chai
Pilipili mtama ilyosagwa (ground black pepper 1 kijiko cha chai
Kitunguu swaum cha unga (garlic powder 1 kijiko cha chai)
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil)
Marination za samaki (angalia kwenye recipe ya samaki ya nyuma)
Matayarisho
Osha viazi na maganda yake kisha vikaushe na uvikate vipande vya wastani. Kwa kila kiazi toa vipande 6. Kisha vitie kwenye bakuli na utie parpika, pilipili mtama ya unga, kitunguu swaum cha unga, chumvi na mafuta kama vijiko 2 vya chakula. Changanya pamoja na kisha uvibake katika oven kwa muda wa dakika 25. Hakikisha vinakuwa rangi ya brown. Vikisha iva vitoe.
Wamarinate samaki, na uwaoke kisha wasevu na potato wedges tayari kwa kuliwa
(Jinsi ya kupika samaki, angalia katika recipe za nyuma)
Mapishi ya choroko
Mahitaji
Choroko kikombe 1 na nusu
Nazi kopo 1
Kitunguu kikubwa 1
Nyanya 1/2 kopo
Swaum 1 kijiko cha chai
Curry powder 1 kijiko cha chai
Chumvi kiasi
Olive oil
Pilipili nzima
Matayarisho
Loweka choroko usiku mzima kisha zichemshe mpaka ziive na ziweke pembeni. Baada ya hapo saga pamoja nyanya, kitunguu, na swaum kisha vipike mpaka maji yote, baada ya hapo tia mafuta na curry powder, pika mpaka nyanya zitoe mafuta kisha tia choroko,tui la nazi, maji nusu kikombe,pilipili na chumvi, kisha koroga vizuri na uache ichemke. Pika mpaka tui la nazi litakapoiva na rojo ibakie kidogo sana, kisha ipua na mboga yako itakuwa tayari kwa kuliwa. Mi huwa napenda kuila na wali ila hata na ugali au chapati inaenda pia.
Mafundisho kuhusu Binadamu, Mtu na Utu
Mungu alisema nini alipotaka kumuumba mtu?
Mtu ni nani?
Tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu maana yake ni nini?
Watu wa kwanza kuumbwa na Mungu ni akina nani?
Mungu alimwumbaje Adamu?
Mungu alimwumbaje Eva (Hawa)?
Kwa nini Mungu alituumba? Kwa nini Mungu aliumba mtu?
Ni kipi cha kutunza kwa makini zaidi kati ya mwili na roho yako?
Mungu aliwapa watu wa kwanza mapaji gani?
Mungu aliwaamuru nini watu wa kwanza?
Je, Adamu na Eva walimtii Mungu?
Dhambi ya asili ndio nini?
Adhabu gani walipewa Adamu na Eva?
2. Walifukuzwa paradisini
3. Walipungukiwa akili na kushikwa na tamaa ya kutenda dhambi
4. Walipitia mahangaiko na taabu nyingi
5. Kupaswa kufa. (Mwa 3:16-20: 5:5)
Kisha kosa la Adamu na Eva Mungu aliahidi nini?
Alipokwisha umba watu Mungu aliwafundisha nini?
Dini ni nini?
Mungu alinena na nani?
2. Musa na Manabii
3. Mwishowe Mungu alimleta mwanawe atufumbulie kabisa dini. (Waebr 1:14-45)
Baada ya kifo cha mtu nini hutokea?
Matokeo ya hukumu hiyo ni nini?
Ikiwa Mungu anatushughulikia, tunapaswa kufanya nini?
Kwa kuwa tumetoka kwa Mungu na tutarudi kwake, tunapaswa kuishi vipi?
Tunaanzaje kumjua Mungu?
Je, Mungu amewasiliana nasi?
Mungu ametufunulia nini?
Mungu akiwa wema mkuu na mwenye uwezo wote, mbona katika viumbe vyake kuna ubaya? Kwa nini Mungu anaruhusu mabaya na maovu?
Kwa nini dhambi zipo?
Viumbe vyenye hiari ni vipi?
Malaika na watu wanaweza kuchagua hata nini?
Sisi binadamu tukoje?
Je, mwili wetu ni muhimu?
Mungu aliwahi kujifunua kwa watu gani?
Je, Mungu aliumba watu wa kwanza katika hali ya mateso na mauti tuliyonayo sasa?
Mungu angeweza kuzuia watu wasitende dhambi?
Je, toka mwanzo sisi watu tunaasi mpango wa Mungu peke yetu?
Dhambi zimetuathiri vipi tena?
Katika unyonge wetu tutumainie nini?
Yesu ni Mungu au mtu?
Yesu ni Mungu na mtu kwa pamoja, ndiyo sababu ni mshenga pekee kati ya Mungu na watu. โKwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, mwanadamu Kristo Yesuโ (1Tim 2:5). โKatika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi ya kimwiliโ (Kol 2:9). Hivyo ni Mungu kweli na mtu kweli.
Yesu anapatikana wapi? Yesu anakaa wapi? Yesu Yupo wapi kwa sasa?
Yesu kama Mungu yupo kila mahali, hakuna mahali asipokuwepo. Yesu kama mwanadamu yupo Mbinguni kwa Baba na anakaa nasi duniani katika Maumbo ya Mkate na Divai Katika Ekaristi.
Je, Umungu na utu wa Yesu vinachanganyikana?
Je, Mwana wa Mungu tangu atwae mwili ni mtu kamili mwenye akili na utashi wa kibinadamu?
Kwa nini Yesu alishawishiwa/alijaribiwa na Shetani?
Tutakapofariki dunia itatutokea nini?
Je baada ya kufa ni hapo hapo roho inaenda motoni au mbinguni, Au ni mpaka Siku ya hukumu Yesu Atakaporudi?
Je, mwili utakaofufuliwa ni huuhuu tulionao sasa?
Haki gani ya Binadamu ni ya msingi kupita zote?
Hamu kuu ya binadamu ni ipi?
Thamani ya Kazi ya Upadre
Faida za mnyonyo na mazao yake
Nyonyo Mbarika (Castor)
Mnyony(KiSwahili) Erand (KiHindi) Kastorka(KiRusi) ni mmea wa jamii ya Mbono Kaburi, kwa
jina la kitaalamu Japtropha
Baadhi ya faida za mnyonyo na mazao yake
Mbali na kuweza kutumia mnyonyo kama uzio hai,njia hii inaweza
kutumika kwa wale wasio na eneo kubwa la shamba ndipo sasa wakapata faida zake kama
ifuatavyo:รฐลธโยฝ
Majani ya mnyonyo yanaweza kutumika kama tiba ya ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB), kukanda
(massage) ili kuondoa maumivu na majani haya
yakifungwa kwenye mguu unaouma huleta nafuu hasa kwa maumiviu yanayokuja baada ya kuteguka, pia hutumika kutibu uvimbe kwa wanyama.
Mizizi ya mnyonyo huweza kutumiwa kama dawa
ya mafundo fundo, uvimbe, kuungua, macho ya
manjano, kuumwa koo na magonjwa ya
kuambukiza ya kisonono na kaswende. Ukijaza
maji baridi kwenye kikonyo cha mnyonyo na
kumpa mtu mwenye kwikwi kila baada ya dakika
mbili au tatu hivi, mara nyingi huondoa
usumbufu unaoletwa na kwikwi. Mbegu/Punje/Tunda/Njugu za mnyonyo zikimezwa na maji bilauri moja kila siku kwa muda wa siku tano huweza kutibu maumivu yaliyosababishwa na kuungua. Vile vile, mbegu hizi huweza kusagwa na kisha kuenguliwa mafuta
kwa ajili ya kulainisha mashine na mitambo viwandani. mbegu za mnyonyo kabla ya kukomaa
Mafuta
yatokanayo na
mbegu za nyonyo mfano
Ricinoleic Acid,
Oleic Acid,
Linoleic Acid
nk hutumika
kutibu ugonjwa
wa wa jongo
(rheumatism)unaowakumba watu wengi wanaoishi maeneo ya miinuko na
baridi, pia hutibu ugonjwa wa mifupa ujulikanao kwa jina la kitaalamu kama arthritis na gauti. Mafuta ya mnyonyo pia yanaweza kutumika
kama njia ya kupanga uzazi kwani yana kiasi
fulani cha sumu ya protini ijulikanayo kitaalamu kama ricin ambayo ikitumiwa kwa kiasi kidogo huharibu utungo,huweza pia kutumiwa kama
mafuta ya kupaka ama losheni katika sehemu za
siri ili kuua mbegu za uzazi za kiume wakati wa tendo la kujamiiana. uzazi wa mpango.
Tahadhari:
Mnyonyo ni mti wenye sumu
inayoweza kuua binadamu au
wanyama endapo itatumika kuzidi
kipimo. Mazao yoyote yatokanayo na mnyonyo huhatarisha au/na
kuharibu mimba na hata kuweza
kusababisha kifo cha mjamzito,
hivyo, matumizi yake lazima yawe
ya uangalifu mkubwa. Mafuta ya Ricinoleic acid
yanayopatikana kutokana na mnyonyo vile vile yanaweza kutumika kurekebisha hedhi
(mzunguko wa damu ya mwezi kwa wanawake) ikiwa mzunguko
umechelewa ama kusimama katika
umri usiotarajiwa. Huweza pia
kupunguza maumivu makali
yanayotokea wakati wa hedhi.
Mafuta ya mnyonyo yanayojulikana
kitaalamu kama Undecylenic Acid
huweza kutumika kutibu magonjwa
mbalimbali ya ngozi na vidonda
vinavyosababishwa na bakteria ama ukungu(fungus). mbegu za mnyonyo baada ya kukomaa
Akina mama wanaonyonyesha pia wanaweza kutumia mafuta
baridi ya mnyonyo (kiasi kidogo ili kuepuka madhara ya mafuta hayo kwa mtotokumbuka
hapo awali nimeandika kuwa mafuta haya
yakitumiwa kwa kiwango kikubwa ni sumu ) kuongeza wingi na mtiririko rahisi wa maziwa.
Nywele nzuri, safi, nadhifu na zisizokatika pia
ngozi imara inapatikana kutokana na matumizi ya mafuta ya mnyonyo.Mafuta ya mnyonyo pia ni
dawa nzuri ya kufungua tumbo la uyabisi(kuvimbiwa).
Mnyonyo unaweza pia kuwafaa watu wanaoishi na VVU (Virusi Vya UKIMWI) kwani mafuta yake ni sumu ya kuua vimelea vya
magonjwa kama vile bakteria na ukungu(fungus).
Njia:
Kupakaza: Chukua kipande cha nguo ama
kitambaa, kisha kiloweke kwenye mafuta ya
mnyonyo ndipo ufunge katika kiwiko ama
eneo lenye maumivu ama kidonda.Vinginevyo
chukua kiasi cha mafuta na kupaka eneo linalohusika mfano, penye kidonda, kuugua
ama pakaza kichwani au juu ya tumbo wakati
wa maumivu ya hedhi nk. Unaweza kuacha kwa muda wa saa moja kabla ya kunawa ili uipe ngozi muda wa kunyonya kiasi cha
mafuta. Unaweza kujifunga kitambaa hicho
tumboni ama mgongoni kama kibwebwe na kuendelea na shughuli za kawaida.
Kunywa: Chemsha mbegu chache za mnyonyo
pamoja na maji na maziwa kisha unywe kiasi kidogo kadiri ya nusu hadi bilauri moja ya ujazo wa mili lita mia mbili na arobaini.
Kusafisha utumbo: Kunywa mafuta ya mnyonyo vijiko viwili vikubwa vya chakula asubuhi, kisha pumzika kwa saa mbili ndipo unywe maji glasi mbili na endelea kunywa maji glasi moja kila baada ya saa moja.
Meseji ya usiku mwema kwa umpendaye
Ckia ckupend, cktaki na wala ckhitji tena ww ni kikwzo
ktka maisha yangu ucnizoee! Mwmbie shtan maneno hya kabla
hjalala. g9t
Unaweza kutuma Ujumbe huu kwa Umpendaye hapa
Mbinu za kumfanya mwanamke akukubali
Njia za kumfanya akukubali ni kama ifuatavyo
Uwe na muonekano mzuri
Wanawake wanapenda wanaume wasafi na watanashati kwa hiyo ukiwa msafi na mtanashati utakua na mvuto kwake. Hivyo utakapoamua kumshawishi kufanya mapenzi itakua rahisi yeye kuwa rahisi kukubali.
Mfanye ajisikie huru
Ni rahisi mwanamke kufanya mapenzi na mtu anayejisikia huru mbaele zake na ambaye yupo huru kuongea na kufanya nae mambo mengine ya kawaida katika maisha. Kwa hiyo ili uweze kumshawishi mwanamke kufanya mapenzi na wewe njia nzuri ni kumfanya ajisikie yupo huru mbele yako na kasha atakua huru kufanya mapenzi na wewe.
Mfurahishe
Mfanye ajisikie mwenye furaha kila anapokuwa na wewe na atamani kuwa na wewe. Akishajiskia mwenye furaha kila anapokuwa na wewe ni rahisi kushawishika kuwa na wewe kimapenzi.
Mfanye ajione kuwa yeye ni mzuri
Mwanamke anapenda sana na anavutiwa na mwanamme anayeona ubora wake au anayemsifia kuwa ni mzuri.
Mfanye akuamini
Mfanye aamini kwamba hata baada ya kufanya mapenzi bado mtakua pamoja na sio mwisho wa mahusiano yenu au urafiki wenu.
Usiwe na haraka, Mpe muda
Usiwe na haraka ya kumwambia kuwa unataka kufanya mapenzi na yeye bali subiri mpaka utakapoona yupo tayari au anaelekea kukuhitaji.
Mfanye akuone mwaminifu
Mfanye akuone mwaminifu kwa kutomchanganya na wanawake wengine. Usimuonyeshe kuwa una mahusiano na wanawake wengine. Mfanye aamini kuwa unamuhitaji yeye tuu.
Mjali kama mwanamke
Mfanye ajiskie kuwa mwanamke. Jaribu kuonyesha kuwa mwelewa, onyesha kuwa unajali, mkarimu na muonyeshe kuwa wewe ni msaada kwake. Mfungulie mlango, mbebee begi au pochi yake n.k.
Onyesha kuwa unapenda kila kitu kutoka kwake
Muonyeshe kuwa unampenda yeye na vyote vyake. Onyesha kuwa umevutiwa na yeye na mambo yake yote na sio mwili wake tuu.
Yafahamu Mambo Mbalimbali kuhusiana na Wanawake kwa Ku-Download Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE
Kitabu hiki kina topiki Zifuatazo;
1. Mambo anayohitaji mwanamke kutoka kwa Mwanaume
2. Mambo yanayowavutia wanawake kutoka kwa wanaume
3. Mambo wanayoyapenda wanawake wakati wa kufanya mapenzi
4. Dalili za mwanamke kicheche
5. Maswali ya kujiuliza kama mwanamke anakupenda kwa dhati au anakudanganya
6. Tabia za mwanamke anayekupenda lakini hawezi kusema
7. Ishara za mwanamke aliyevutiwa na wewe
8. Dalili za mwanamke anayeelekea kukukubali
9. Mambo ambayo mwanamke hawezi kukwambia
10. Njia za kudumisha na kuamsha mapenzi na mwanamke
Kitabu hiki ni Soft copy [pdf] kwa hiyo unaweza kusoma moja kwa moja kirahisi kabisa hata kwenye simu yako. Utatumiwa Kopi ya kitabu hiki kwenye email yako na utaweza kukihifadhi na kusoma wakati wowote utakaotaka.
-
Familia, Mapenzi na Mahusiano
๐Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE๐ง๐๐
Original price was: Sh7,500.Sh3,000Current price is: Sh3,000. Download Now
Faida 3 za uvutaji wa sigara
Ni hizi
1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara nyumbani kwake haingii mwizi
UFAFANUZI
1. Hazeeki kwa sababu hufa mapema kwa kifua kikuu
2. Haumwi na mbwa kwa vile kifua na mapafu yanapooza na hulazimika kutembea na bakora
3. Nyumbani kwake haingii mwizi kwa kuwa inafika wakati ambapo halali:
atakohoa usiku kucha hivyo mwizi anajua yupo macho
kumbe kikohozi tu!
Mambo ya kutafakari unapokuwa katika shida kubwa, unapoelekea kukata tamaa
Tafakari Kuhusu Wakati wa Shida
Leo tunatafakari kuhusu wakati wa shida. Maisha ya mtu yanabadilika wakati wowote kwa namna yoyote. Yanaweza yakawa mazuri mpaka ukashangaa au yanaweza yasiwe mazuri kama unavyotarajia. Yote hayo ni sehemu ya maisha.
“Nimejifunza kuwa na kuridhika na hali yoyote niliyo nayo. Najua jinsi ya kuwa na hali duni, najua jinsi ya kuwa na hali ya wingi. Katika hali zote na mambo yote, nimefundishwa jinsi ya kushiba na jinsi ya kuwa na njaa, jinsi ya kuwa na wingi na jinsi ya kupungukiwa.” (Wafilipi 4:11-12)
Kumbuka Wakati wa Matatizo
Unapokua na matatizo makubwa katika maisha, kumbuka haya yafuatayo:
1. Mungu Yupo na Anakuona
Mungu yupo na anakuona. Mwambie matatizo yako, huo ndio wakati wake wa kuonyesha uwepo wake na nguvu zake. Wewe tu kusema na Mungu kwa utayari na uwazi, hivyo utakao kuwezesha kupata au kutatua tatizo lako.
“Naomba BWANA akujibu siku ya dhiki, jina la Mungu wa Yakobo likuinue.” (Zaburi 20:1)
“Mchungueni Bwana na nguvu zake, utafuteni uso wake siku zote.” (1 Mambo ya Nyakati 16:11)
“Bwana ni ngome yao katika wakati wa shida.” (Zaburi 37:39)
2. Matendo na Maamuzi Yako
Maneno, vitendo, na maamuzi yako ndiyo yanaweza yakawa njia ya kutatua matatizo yako. Usiogope kuchukua hatua zinazohitajika. Tafuta hekima na uongozi kutoka kwa Mungu katika kila hatua unayochukua.
“Yehova atakuelekeza siku zote, na kukusibisha katika nchi yenye ukame, na kukuimarisha mifupa yako. Utakuwa kama bustani iliyomwagiliwa, na kama chemchemi ya maji ambayo maji yake hayatapungua.” (Isaya 58:11)
“Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote, wala usizitegemee akili zako mwenyewe. Katika njia zako zote mkiri yeye, naye atayanyosha mapito yako.” (Mithali 3:5-6)
“Nawafundisha njia iliyo njema na adili; msiiachilie sheria yangu.” (Mithali 4:11-13)
3. Matatizo Hayako Sio Mwisho wa Maisha
Tatizo lako sio mwisho wa maisha yako, sio mwisho wa yote mazuri ya jana, leo, na kesho. Bado unayo mambo mengi mazuri yanakungojea. Mungu anapanga mambo mazuri kwa ajili ya wale wanaompenda na kumtumainia.
“Maana ninajua mipango niliyo nayo kwa ajili yenu, asema Bwana, ni mipango ya amani na si ya mabaya, ili niwape tumaini katika siku zenu za usoni.” (Yeremia 29:11)
“Na tusiache kutenda mema, kwa maana tutavuna kwa wakati wake tusipozimia roho.” (Wagalatia 6:9)
“Bwana atakamilisha mambo yangu; Ee Bwana, fadhili zako ni za milele; usiache kazi ya mikono yako.” (Zaburi 138:8)
4. Uangalizi wa Tatizo
Kumbuka tatizo lako linaweza likawa sio kubwa ila wewe ndio unaliona kubwa. Wewe sio wa kwanza kuwa na tatizo kama hilo, wengine hayo ndo maisha yao. Angalia kwa mtazamo wa matumaini na uombe hekima ya Mungu ili uweze kuona njia ya kutoka kwenye tatizo lako.
“Mkipungukiwa na hekima, na aombe kwa Mungu, naye atampa kwa ukarimu wala hachukii.” (Yakobo 1:5)
“Kwa hiyo hatulegei; bali ijapokuwa utu wetu wa nje unachakaa, lakini utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku.” (2 Wakorintho 4:16)
“Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.” (Wafilipi 4:13)
Kwa hivyo, wakati wa shida, ni muhimu kujikumbusha kwamba Mungu yupo, anakusikiliza, na yupo tayari kukusaidia. Usiache matumaini, endelea kuamini na kutenda kwa hekima na imani, ukijua kwamba matatizo yako ni sehemu ya safari yako ya kiroho na Mungu anapanga mazuri mbele yako.





































































I’m so happy you’re here! ๐ฅณ









Recent Comments