Uaminifu ni kipimo na kigezo cha Ukamilifu na Utakatifu.
Uaminifu ni ishara ya Upendo na tunda la uvumilivu
Uaminifu ni alama ya ushirika na Umoja
Upendo haukamiliki bila Uaminifu.
Ni kwa kiasi cha Uaminifu wako Mungu atakuhukumu
Kama unaweza kuwa mwaminifu katika jambo dogo basi hata Makubwa utakua mwaminifu
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Huruma ya Mungu: Nguvu ya Kufufua na Kurejesha
Nguvu ya Huruma ya Mungu: Ukarabati wa Kina
Mambo ya kutafakari unapokuwa katika shida kubwa, unapoelekea kukata tamaa
Upendo, Huruma, Rehema na Neema za Mungu
Huruma ya Yesu Kristo kwa mwenye dhambi
Huruma ya Mungu: Nguvu ya Ukombozi na Utakaso
Huruma ya Mungu: Faraja katika Majaribu na Huzuni
Vile unavyoweza kuwa DARAJA au KIKWAZO kwa wengine