UPADRE NI KAZI YA PEKEE YA HEKIMA, UWEZO NA MAPENDO YA UMUNGU WA KRISTU. KAMWE USIMSHAMBULIE PADRE. “Yesu Maria na Yosefu nawapenda, ziokoeni Roho. KUMTETA PADRE [Haya ni maelezo ya Bwana wetu kwa Mutter Vogel.] ” Kamwe mtu asimshambulie Padre hata anapokuwa katika makosa badala yake umwombee na fanya toba ili niweze kumpa tena NEEMA.
Ni yeye peke yake anaye niwakilisha mimi hata awe haishi kulingana na mimi. Endapo Padre anaanguka tumnyoshee mkono wa msaada kwa njia ya SALA na sio KUMSHAMBULIA. Ni mimi pekee nitakuwa HAKIMU wake si mwingine ila mimi”. “Mtu yeyote anapotamka HUKUMU dhidi ya padre ananihukumu mimi”.
Mwanangu kamwe usiruhusu padre ashambuliwe, jitahidi kuwa upande wake na umtetee”. Mwanangu kamwe usimhukumu mwungamishi wako bali umwombee sana na tolea KOMUNIO TAKATIFU kwa ajili yake, kila siku ya ALHAMISI kupitia MIKONO au MAMA YANGU MTUKUFU.
Tena kamwe usikubali neno lolote la kumdhalilisha Padre na kusema neno baya dhidi yake (yao), HATA KAMA INGELIKUWA NI KWELI! Kila Padre ni WAKILI wangu na moyo wangu utahuzunika na kusikia uchungu kwa ajili hiyo. Usikiapo HUKUMU dhidi ya Padre, sali SALAMU MARIA. Umwonapo Padre anayeadhimisha MISA TAKATIFU akiwa katika halo isiyostahili, usiongee nae lolote kumhusu yeye bali nieleze mimi tu! Huyo huwa nasimama naye ALTERANI”. ” Oh waombeeni mapadre wangu ili watamani USAFI NA WEUPE WA ROHO kuliko jambo lolote ili waweze kutolea sadaka TAKATIFU kwa moyo na mikono iliyotakata. Ni ukweli kwamba Misa ni ile ile hata ikiadhimishwa na Padre mwenye hali isiyostahiki lakini NEEMA zinazowashukia watu sio zile zile. [MARIA, MALKIA WA MAPADRE UWAOMBEE.]
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Tumaini ni nanga ya roho
Neema ya Mungu inatosha kwako
Rehema zake hudumu milele
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Nakuombea 🙏
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Mwamini katika mpango wake.
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Endelea kuwa na imani!
Dumu katika Bwana.
Mwamini Bwana; anajua njia
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Imani inaweza kusogeza milima
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Neema na amani iwe nawe.
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Sifa kwa Bwana!
Nguvu hutoka kwa Bwana
Katika imani, yote yanawezekana
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Baraka kwako na familia yako.
Mungu akubariki!
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Mungu ni mwema, wakati wote!
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Rehema hushinda hukumu
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Tembea kwa imani, si kwa kuona