Jinsi ya kutibu chunusi kwa mdalasini na asali Leave a Comment / By SW - Melkisedeck Shine / April 9, 2022 Mchanganyiko wa mdalasini na asali ni dawa nzuri ya kutibu chunusi. Changanya asali vijiko vikubwa viwili na mdalasini ya unga kijiko kikubwa kimoja. Safisha vizuri uso wako. Kisha pakaa mchanganyiko huo kwenye uso wako usiku na asubuhi ujisafishe vizuri uso wako.
Vyakula vinavyoongoza kuongeza akili kwenye ubongo BILA shaka ubongo ni miongoni mwa viungo muhimu vya binadamu lakini ni…
Namna ya kuondokana na tatizo la kunuka Kikwapa Harafu ya jasho inakera, kibaya zaidi ni kuwa wewe mwenyewe husikii harufu…
Faida za mnyonyo na mazao yake Nyonyo Mbarika (Castor)Mnyony(KiSwahili) Erand (KiHindi) Kastorka(KiRusi) ni mmea wa jamii ya Mbono…
Faida za matumizi ya Ukwaju kiafya Faida kuu za ukwaju ni kama ifuatavyo: Huondoa sumu Mwilini Chanzo kizuri…
Tabia 10 zinazoweza kuharibu figo 1.Kubana mkojo kwa muda mrefu2.Kutokunywa maji ya kutosha kila siku3.Kutumia chumvi nyingi…