Mchanganyiko wa mdalasini na asali ni dawa nzuri ya kutibu chunusi.
Changanya asali vijiko vikubwa viwili na mdalasini ya unga kijiko kikubwa kimoja. Safisha vizuri uso wako.
Kisha pakaa mchanganyiko huo kwenye uso wako usiku na asubuhi ujisafishe vizuri uso wako.
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Hizi ndizo sababu kwa nini ule Tende kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Faida 14 za kufunga chakula
Ulaji mzuri hupunguza uwezekano wa kupata shinikizo la chini la damu
Mambo 9 ya kuzingatia kuepuka ugonjwa wa saratani au Kansa
Dondoo kuhusu tezi dume
Faida za kula ukwaju
Faida za mafuta ya nazi kiafya kwenye mwili
Sababu ya meno kubadilika rangi