Ni hizi
1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara nyumbani kwake haingii mwizi
UFAFANUZI
1. Hazeeki kwa sababu hufa mapema kwa kifua kikuu
2. Haumwi na mbwa kwa vile kifua na mapafu yanapooza na hulazimika kutembea na bakora
3. Nyumbani kwake haingii mwizi kwa kuwa inafika wakati ambapo halali:
atakohoa usiku kucha hivyo mwizi anajua yupo macho
kumbe kikohozi tu!
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Sitasahau mwaka huu
Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya
Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo
Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi
Huyu mlinzi bwana
Sio kwa wivu huu
Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo
Wazo la jioni hii