Jinsi ya kupika Mchuzi Wa Ngogwe Na Bamia
Viamba upishi
Ngogwe ยฝ kg
Kitunguu 2
Bamia ยผ kg
Karoti 2
Mafuta vijiko vikubwa 8
Maji vikombe 3 Mayai 2
Nyanya 2
Chumvi
Hatua
โข Osha, menya na katakata nyanya na vitunguu.
โข Osha, menya na kata karoti virefu virefu.
โข Osha, kata ncha za bamia pande zote na kama ndefu sana kata
vipande viwili.
โข Osha, kata vikonyo vya ngongwe, kama ni kubwa kata vipande viwili.
โข Kaanga vitunguu, ongeza nyanya, korogoa mpaka zilainike.
โข Ongeza ngogwe, karoti, bamia na chumvi, koroga mpaka
zionekane kukolea rojo.
โข Ongeza maji vikombe 2 koroga na funikia kwa dakika 10-15 au
mpaka ziive. Punguza moto.
โข Koroga mayai kwenye maji mpaka iwe kama maziwa, ongeza
kwenye mboga na koroga polepole usiponde ngogwe wala bamia
kwa dakika 5.
โข Onya chumvi, pakua za moto kama kitoweo.
Recent Comments