Ujumbe kwa leo
Kuna baadhi ya LEVEL huwezi kufikaโฆKuna MAFANIKIO huwezi kuyafikiaโฆKuna HELA huwezi kuzipataโฆKama umezungukwa na watu BASICโฆ
Kuanzia asubuhi mpaka jioni wanaongelea WATU TU..Fulani kamegwa na yule..halafu yule naniliu saivi anatembea na yule ex wa naniiโฆAsubuhi mpaka jioni DISCUSSING PEOPLEโฆHawa ndio watu BASICโฆHata siku 1 hawatakupa Ushauri kuhusu HOW TO REACH SOMEWHEREโฆNEVER
Na ukionekana unaanza kufanya vitu EPIC watakugeuka kwamba UNARINGA.. UNAJISIKIA.. UMEWATENGAโฆUNAJIDAI UNA HELAโฆand lots of bullshitโฆ
Pengine ulipaswa kuwa mbaaalii kibiashara lakini HUWEZI coz umezungukwa n Mbaazi tupuโฆBASIC PEOPLEโฆUkiwaambia umesikia Kiwanja kinauzwa Kigamboni wanakwambia Kigamboni watu wanatapeliwa kuna mradi wa Joji BushiโฆUkiwambia unataka kujiunga Forever Living wanakwambia UNALIWA HELAโฆUkiwaambia kuna SACCOSS wanatoa mikopo unataka uchukue ujenge wanakwambia INTEREST ZAKE UTASHINDWA na kujenga sio mchezo shosti..Unaamini unaacha!โฆNataka kufanya Kitu flani WANAKUKATISHA TAMAA
Unahitaji kuzungukwa na watu wenye POSITIVE ENERGY ambao ukiwambia unataka kwenda Mbinguni kwa kupitia Mkuranga wanakuchangia NauliโฆNiliposema naacha kazi watu ohh utakula nini..utaishijeโฆMji Mgumu huu..Wenzio wanatafuta kazi we unaacha utalostiโฆWHO SAID??Nadunda kama kawa..NEGATIVE PEOPLE WILL BRING U DOWNโฆ.Ukitaka Kupaa kaa karibu na ndegeโฆWe unataka kupaa unakuwa rafiki wa NyangumiโฆUNAZAMISHWA SASA HIVI!!
Tangu nianze kukaa na watu Positive I have changed a lotโฆNikiwaza jambo wanauliza HOW DO WE ACHIEVE THIS na sio FULANI ALIWAHIFANYA HII AKAFELI..
Ikikusaidia Chukua..
KILL ALL NEGATIVE PEOPLE AROUND YOU kama unataka kufikia Malengo Makubwa, I will be ur Lawyer at the Court na mwambie Hakimu nilikutuma mimi!
TIME TO DELETE ALL BASIC PEOPLE who wait of option๐๐๐๐
Recent Comments