NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbele, +++ KIBABU kikasimama na kwenda Mbele,
Bi harusi akaanguka na akazimia ghafla!😭😭😭
Mchungaji- Tuambie Babu Pingamizi Lako!
Babu-Nimeamua kuja mbele,kule nyuma sisikii vizuri! watu hoiiii!!
hata mimi hoi…😃😃😃😃😃😃😃
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! 😊😂
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! 😂
😄😅👏😂
Hii kichekesho inastahili tuzo! 🏆
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! 😆