Hakuna uwezo Bila fursa Leave a Comment / By SW - Melkisedeck Shine / March 20, 2022 Hakuna uwezo bila fursa. Huwezi kusema unauwezo wa kitu kama hauna fursa ya kukifanya.
Kushindwa jambo sio Makosa Kushindwa jambo sio Makosa, bali kuacha kufanya jambo kabisa ni makosa makubwa.
Jaribu Mambo Kadiri uwezavyo Jarbu Mambo mengi kadiri uwezavyo kwani kwa kujaribu ndivyo tunajua tunaweza au…
Uwezo wa Kutumia ulichonacho Ukiweza kutumia vizuri kipaji au uwezo mdogo ulionao itakufanya uwe bora na…