JE,SHERIA YA MAPADRE KUTOOA NA KUISHI USEJA IMEANDIKWA WAPI KATIKA BIBLIA AU IMETUNGWA TU NA PAPA? Pengine umewahi kuulizwa swali hili wakati fulani.Na jibu lake ni kama ifuayavyo: Mtu anapouliza kila kitu kimeandikwa wapi katika Biblia ni kudhihirisha kutokuijua au kuielewa vizuri Biblia Takatifu na historia yake.Mtu anapong’ang’ania “nionyeshe kitu…
Tag: Katoliki: Imani ya Kanisa Katoliki

MITAGUSO MIKUU YA KANISA KATOLIKI
MITAGUSO MIKUU Yesu Kristo aliwakabidhi mitume kumi na wawili uongozi wa Kanisa wakiwa kundi moja lenye mkuu wake, yaani Petro. Vilevile waandamizi wao, yaani maaskofu wote, ni kundi moja na Papa wa Roma ndiye mkuu wao. Huyo peke yake, na kundi la maaskofu likiwa pamoja naye na chini yake, ndio…
JE IMANI AU MAPOKEO YA KANISA KATOLIKI YANAPATIKANA KATIKA BIBLIA?
Wakatoliki wengi huyumbishwa kwa kuambiwa huamini mambo ambayo hayako au ni kinyume na Biblia. Aya zifuatazo zitakusaidia wewe mkatoliki kuelewa au kujua mistari ya Biblia inayofafanua imani katoliki. 1) KUOMBEA MAREHEMU:2 Mak. 12:38-46Hek. 3:1Tob 4:17 2) MATUMIZI YA SANAMU NA VISAKRAMENTI2Fal 3:20-21Hes. 21:8-9Kut. 25:17-22Kol. 1:20, 2:14Yn. 12:32Mt. 19:11-12 3) USAHIHI…
Maswali na Majibu kuhusu Sanamu katika Kanisa Katoliki
Kwa nini tunasali mbele ya Picha/Sanamu na Hasa kufanya Ishara ya msalaba?
Tunasali mbela ya sanamu kwa sababu tunaamini sanamu inaakisi uwepo wa mhusika aliyechorwa au kuchongwa kwenye hiyo sanamu/picha.
Maswali na Majibu kuhusu Rehema
Rehema ni nini?
Rehema ni msamaha au ondoleo la adhabu ya dhambi tulizostahili sababu ya dhambi zilizokwisha ondolewa
Kwa nini Wakatoliki wanaungama dhambi kwa Padri?
KWANINI NYIE WAKATOLIKI MNAUNGAMA DHAMBI KWA PADRE AMBAYE NI MWANADAMU NA MDHAMBI BADALA YA KUUNGAMA MOJA KWA MOJA KWA MUNGU? Pengine umewahi kuulizwa swali hili au umewahi kujiuliza: hapa ni maelezo yatayokusaidia kuelewa sababu (japo sio zote) na uhalali wa jambo hilo. Hapa tunaongozwa na maneno ya Bwana Yesu mwenyewe…
Maswali na Majibu kuhusu Sala
Sala ni kuinua mioyo yetu kwa Mungu na kuongea nae. Kuongea maana yake ni kusema na Kusikiliza. Sala sio kuongea tuu, sala ni kuongea na kusikiliza. Mungu anatualika tuongee nae kwa kusema na kusikiliza.
Mafundisho kuhusu Binadamu, Mtu na Utu
Tumeumbwa kwa mfano na sura ya Mungu maana yake tuna roho zenye akili na utashi yaani uwezo wa kutofautisha mema namabaya, na zitakazoishi milele.
Ijue Ishara ya Msalaba
Ishara ya Msalaba ni tendo la mtu kugusa paji la uso, kifua na mabega kwa kutumia mkono wa kulia na kutamka ‘Kwa Jina la Baba, na la Mwana na la Roho Mtakatifu, Amina’. Kugusa paji la uso tuna maana kukubali kwa akili, kugusa kifua maana yake ni kupokea na kuupenda…
Zifahamu dhambi ambazo huondolewa na PAPA pekee au Padre kwa ruhusa maalumu kutoka kwa Baba Mtakatifu
1.Kumdhuru baba mtakatifu kimwili mfano:kumpiga au kumtemea mate 2.Kukufuru Ekaristi Takatifu mfano kutema na kuchezea kwa namna yoyote kama ya kishirikina. 3.Padri kutenda dhambi na muumini mfano : kuzini 4.Askofu kumpa padre uaskofu padre yeyote bila ruhusa ya baba mtakatifu. NB:jiandae kufanya kitubio kama unaguswa na dhambi yoyote kati ya…