Kuna ibada za Mama Bikira Maria zinazoadhimishwa katika liturujia ya Kiroma. Hapa zimepangwa kulingana na heshima zinavyozidiana:
Sherehe
8 Desemba – Bikira Maria Mkingiwa Dhambi ya Asili 1 Januari – Bikira Maria Mama wa Mungu 25 Machi – Bikira Maria Kupashwa Habari 15 Agosti – Bikira Maria Kupalizwa Mbinguni
8 Desemba – Bikira Maria Mkingiwa Dhambi ya Asili 1 Januari – Bikira Maria Mama wa Mungu 25 Machi – Bikira Maria Kupashwa Habari 15 Agosti – Bikira Maria Kupalizwa Mbinguni
Sikukuu
31 Mei – Maamkio ya Bikira Maria 8 Septemba – Kuzaliwa kwa Bikira Maria
Kumbukumbu
Juni – Moyo Safi wa Maria 15 Septemba – Mama Yetu wa Huzuni 22 Agosti – Bikira Maria Malkia 7 Oktoba – Bikira Maria wa Rozari 21 Novemba – Bikira Maria Kutolewa Hekaluni
Kumbukumbu za Hiari
11 Februari – Bikira Maria wa Lurdi 13 Mei – Bikira Maria wa Fatima 16 Julai – Bikira Maria wa Mlima Karmeli 5 Agosti – Kutabaruku Kanisa la Bikira Maria 12 Septemba – Jina takatifu la Maria 12 Desemba – Bikira Maria wa Guadalupe
Tena kila Jumamosi isiyo na adhimisho maalumu, Kanisa huadhimisha kumbukumbu ya Mama wa Mungu.
Pia zipo heshima za binafsi kwa Bikira Maria: mashariki zinatumika tenzi na nyimbo mbalimbali, k.mf. Akatistos inayomuita “daraja linalounganisha dunia na mbingu”, “ngazi aliyoiona Yakobo” “kina kisichochunguzika kwa macho ya malaika” (Mwa 28:12); magharibi]] anaheshimiwa kwa rozari.
Wakristo wanaomheshimu Bikira Maria hawamuabudu hata kidogo, lakini wanamtolea heshima ya juu kuliko watakatifu wengine. Tofauti ni kwamba Mungu tu anastahili kuabudiwa (kwa Kigiriki, ‘latria’) watakatifu wanapewa heshima (‘dulia’) na Bikira Maria heshima zaidi (‘yuper-dulia’). Kanisa Katoliki linakiri neema zote za Mungu zinampitia Maria.
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Sifa kwa Bwana!
Mungu akubariki!
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Mungu ni mwema, wakati wote!
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Mwamini katika mpango wake.
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Neema ya Mungu inatosha kwako
Katika imani, yote yanawezekana
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Mwamini Bwana; anajua njia
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Nguvu hutoka kwa Bwana
Rehema hushinda hukumu
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Dumu katika Bwana.
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Endelea kuwa na imani!
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Rehema zake hudumu milele
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Baraka kwako na familia yako.
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Neema na amani iwe nawe.
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Imani inaweza kusogeza milima
Nakuombea 🙏
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Tumaini ni nanga ya roho