1.Kumdhuru baba mtakatifu kimwili mfano:kumpiga au kumtemea mate
2.Kukufuru Ekaristi Takatifu mfano kutema na kuchezea kwa namna yoyote kama ya kishirikina.
3.Padri kutenda dhambi na muumini mfano : kuzini
4.Askofu kumpa padre uaskofu padre yeyote bila ruhusa ya baba mtakatifu.
NB:jiandae kufanya kitubio kama unaguswa na dhambi yoyote kati ya hizo kwani kuna mchakato maalumu wa kuteuliwa kwa mapadre zaidi ya 800 na baba mtakatifu kwenda dunia zima kwa kuwaondolea watu wenye dhambi hizo. Tumsifu Yesu Kristu 🙏🏿
Kuhusu dhambi namba 3 inakosa tu maelezo.Na maelezo yake ni haya;
Padre kuzini na muumini hiyo inabaki kuwa ni dhambi Kati ya Padre na muumini wake.Kwa dhambi hiyo Padre anaweza akatafuta Padre mwenzake akaungama kadhalika na kwa muumini huyo.
Shida ni pale tu endapo,Padre anataka KUMUUNGAMISHA mwanamke (muumini) aliyetoka KUZINI naye au yule ANAYEZINI naye hiyo dhambi na kosa hilo hata Askofu wako hana mamlaka ya kukuungamisha wala kukusamehe ni kiti cha Baba Mtakatifu pekee chini ya Congregatio inayoshughulikia mambo matakatifu iitwayo kwa kifupi CDF yaani Congregation for Doctrine of Faith.
Ambayo inashughulikia na mambo mawili hasa makuu yaani;
1.Protection of Sanctity of Sacraments
2.Dealing with Grave Disorders and bad conducts in the Church.
Kwa ufupi ndio hivyo ninaweza kukwambia.
Padre kuzini na muumini hiyo inabaki kuwa ni dhambi Kati ya Padre na muumini wake.Kwa dhambi hiyo Padre anaweza akatafuta Padre mwenzake akaungama kadhalika na kwa muumini huyo.
Shida ni pale tu endapo,Padre anataka KUMUUNGAMISHA mwanamke (muumini) aliyetoka KUZINI naye au yule ANAYEZINI naye hiyo dhambi na kosa hilo hata Askofu wako hana mamlaka ya kukuungamisha wala kukusamehe ni kiti cha Baba Mtakatifu pekee chini ya Congregatio inayoshughulikia mambo matakatifu iitwayo kwa kifupi CDF yaani Congregation for Doctrine of Faith.
Ambayo inashughulikia na mambo mawili hasa makuu yaani;
1.Protection of Sanctity of Sacraments
2.Dealing with Grave Disorders and bad conducts in the Church.
Kwa ufupi ndio hivyo ninaweza kukwambia.
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Nakuombea 🙏
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Endelea kuwa na imani!
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Neema na amani iwe nawe.
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Sifa kwa Bwana!
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Mungu akubariki!
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Katika imani, yote yanawezekana
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Baraka kwako na familia yako.
Mungu ni mwema, wakati wote!
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Mwamini katika mpango wake.
Tumaini ni nanga ya roho
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Dumu katika Bwana.
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Mwamini Bwana; anajua njia
Nguvu hutoka kwa Bwana
Rehema zake hudumu milele
Imani inaweza kusogeza milima
Neema ya Mungu inatosha kwako
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Rehema hushinda hukumu
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake