Posted: September 20, 2017
Ili kuwa na Amani ya Moyoni unatakiwa uishi kwa kutimiza wajibu wako wa kiroho na kidunia kama inavyotakiwa na kwa uwezo wako wote, Huku ukiwa na Matumaini ya kua kile unachokifanya kitafanikiwa, ni sahihi na umekifanya vizuri.
Nguvu hutoka kwa Bwana
Katika imani, yote yanawezekana
Mungu ni mwema, wakati wote!
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Rehema hushinda hukumu