- Bwana utuhurumie
- Bwana utuhurumie
- Kristo utuhurumie
- Bwana utuhurumie
- Bwana utuhurumie
- Kristo utusikie
- Kristo utusikilize
- Mungu Baba wa Mbinguni,โฆโฆ Utuhurumie
- Mungu Mwana Mkombozi wa dunia โฆโฆโฆ Utuhurumie
- Mungu Roho Mtakatifu โฆโฆ.. Utuhurumie
- Utatu Mtakatifu Mungu Mmoja โฆโฆ.. Utuhurumie
- Maria Mtakatifu โฆโฆโฆ. utuombee
- Mzazi Mtakatifu wa Mungu โฆโฆ.. utuombee
- Bikira Mtakatifu Mkuu wa Mabikira โฆโฆ.. utuombee
- Mama wa Kristo โฆโฆโฆ utuombee
- Mama wa Neema ya Mungu โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Mama Mtakatifu sana โฆโฆโฆ utuombee
- Mama mwenye usafi wa Moyo โฆโฆโฆ.. utuombee
- Mama mwenye ubikira โฆโฆโฆ.. utuombee
- Mama usiye na doa โฆโฆโฆ.. utuombee
- Mama mpendelevu โฆโฆโฆ. utuombee
- Mama mstajabivu โฆโฆโฆ. utuombee
- Mama wa Muumba โฆโฆโฆ. utuombee
- Mama wa Mkombozi โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Mama wa Kanisaโฆโฆโฆ.. utuombee
- Bikira mwenye utaratibu โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Bikira mwenye heshima โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Bikira mwenye sifa โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Bikira mwenye uwezo โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Bikra mweye huruma โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Bikra mwaminifuโฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Kioo cha haki โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Kikao cha hekima โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Sababu ya furaha yetu โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Chombo cha neema โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Chombo cha kuheshimiwa โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Chombo bora cha ibada โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Waridi lenye fumbo โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Mnara wa Daudi โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Mnara wa pembe โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Nyumba ya dhahabu โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Sanduku la Agano โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Mlango wa Mbingu โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Nyota ya asubuhi โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Afya ya wagonjwa โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Kimbilio la wakosefu โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Mtuliza wenye huzuni โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Msaada wa waKristo โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Malkia wa Malaika โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Malkia wa Mababu โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Malkia wa Manabii โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Malkia wa Mitume โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Malkia wa Mashahidi โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Malkia wa Waungama dini โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Malkia wa Mabikira โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Malkia wa Watakatifu wote โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Malkia uliyepalizwa Mbinguni โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Malkia wa Rozari takatifu โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Malkia wa amani โฆโฆโฆโฆ.. utuombee
- Mwanakodoo wa Mungu uondoaye dhambi za dunia,โฆโฆโฆโฆ..Utusamehe ee Bwana.
- Mwanakondoo wa Mungu uondoaye dhambi za dunia,โฆโฆโฆโฆ..Utusikilize ee Bwana
- Mwanakondoo wa Mungu uondoaye dhambi za dunia,โฆโฆโฆโฆ..Utuhurumie.
- Utuombee, Mzazi Mtakatifu wa Mungu,โฆโฆโฆโฆ..Tujaliwe ahadi za Kristo.
Tuombe
Ee Bwana Mungu, utujalie sisi watumishi wako afya ya roho na mwili siku zote; na kwa maombezi matukufu ya Maria Mtakaatifu Bikira daima, tuopolewe na mashaka ya saa, tupate na furaha za milele. Kwa Kristo Bwana wetu, Amina.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
๐๐โค๏ธ Nakuombea heri
๐โค๏ธ Mungu ni mwaminifu
๐โค๏ธ๐ Asante Mungu kwa uhai
Neema na amani iwe nawe.
Sifa kwa Bwana!