(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na mwili wangu, nikikuomba uipokee amana yangu, kuitunzia ulinzi mwema ulinzi bora, ninakuaminia na kila neno langu, matumaini na kitulizo na kisongo chote, na masumbuko na uzima na ukomo wa uzima wangu: nitakayo ndiyo unifanyizie kwa maombezi na stahili zako, ili mambo yangu yote yapate kuongoka, yakiwa na kufuata mapenzi yako, pamoja na mapenzi ya Mwanao. Amina.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Rehema zake hudumu milele
ππβ€οΈ Nakuombea heri
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote