Kinga ya magonjwa na madhara yote Leave a Comment / By SW - Melkisedeck Shine / October 20, 2023 Katika maisha, kinga kuu ya magonjwa na majanga yote ni kujikatalia au kujinyima.
Tofauti ya Maskini, tajiri na mtu mwenye uchu Tofauti ya maskini, tajiri na mwenye uchu/tamaa ni kwamba; Mtu maskini anafanyakazi…
Thamani ya faida Huwezi kuona thamani ya kitu ambacho hujakigharamia. Faida haina thamani kama haijagharamiwa.
Kushindwa jambo sio Makosa Kushindwa jambo sio Makosa, bali kuacha kufanya jambo kabisa ni makosa makubwa.