*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi ndugu.
*Boss*:-umesoma mpaka wapi?
*Jamaa*:-mpaka form four.
*Boss*:-unajua kingereza?
*Jamaa*:-kwani hao wezi wanakuja na wazungu???.
😅😅😅😅😅😅
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😂 Nitaiiba hii bila shaka!
Hii imenikumbusha enzi zile! 😅😂
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏😂
😄 Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
😂🤣😆😅