Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelele “mamaa” mama yake akaamka na kumwambia nin mwnangu mtoto akajibu “mama nimeota ndoto mbaya sana” ndoto gani hyo mwanangu mtoto akajibu “nimeota tumefungua shule”
😂😂😂😂😂
🌚🌚Kibaooooo nyau wewe
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! 😄
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! 😂
Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆
😆😅😂
😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!