Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelele “mamaa” mama yake akaamka na kumwambia nin mwnangu mtoto akajibu “mama nimeota ndoto mbaya sana” ndoto gani hyo mwanangu mtoto akajibu “nimeota tumefungua shule”

😂😂😂😂😂

🌚🌚Kibaooooo nyau wewe

Subscribe
Notify of
guest

236 Comments
Most Voted
Newest Oldest
Inline Feedbacks
View all comments
Frank Sokoine

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! 😄

James Mduma

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! 😂

Alice Wanjiru

Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆

Janet Sumaye

😆😅😂

Agnes Lowassa

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Shopping Cart
0
    0
    Your Cart
    Your cart is emptyReturn to Shop