Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda kufungua mlango
Akamkuta jamaa kalewa sana mlangoni kwao
JAMAA: Nini tena mheshimiwa kuamshana saa hizi?
MLEVI: Naomba uje unisukume.
Jamaa akiamini kuwa pengine kuna gari la huyu mlevi limezima jirani akamwambia subiri nikavae viatu. Baada ya kuvaa viatu akatoka na wakaanza kusindikizana na mlevi. Mlevi akaongoza njia
mpaka kwenye mabembea ya jirani akakaa kwenye bembea moja na kumgeukia jamaa na kumwambia.. Okay nisukume basi.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Daaah! Huyu mlevi msenge kwelii kweli 🤣🤣😁
du!¡ kipig kinamuhusu kutoa pombe iy
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😂😅
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! 😄😆
🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!