*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya kadi kuchapwa na kusambazwa!
Mchapaji aliombwa aweke 1 Yohana 4:18 katika kadi ya harusi lakini mchapaji kwa makosa aliweka Yohana 4:18.
1 Yohana 4:18 panasema, “Katika pendo hakuna hofu, lakini pendo lililo kamili huitupa nje hofuโฆ”
Lakini Yohana 4:18 tunasoma, “Kwa maana umekuwa na waume watano, naye uliye naye sasa siye mume wako.”
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐_MKE MTARAJIWA AKAZIMIA HAPA, TUNAMPEPEA_
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
๐ Siwezi kuacha kucheka!
๐ Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ๐๐คฃ
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ๐ ๐
๐๐๐คฃ