Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa
Maria Mtakatifu
Mama wa Mungu
Utuombee sisi wakosefu
Sasa, na saa ya kufa kwetu.
Amina.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
🙏✨ Mungu atakuinua
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
🙏🌟 Mbarikiwe sana
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako