Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaokusihi, tufurahie hali njema ya hewa na mvua tunayoitamani na kuhitaji. Tutumie daima vipawa vya wema wako kwa ajili ya utukufu wa jina lako, na kwa ajili ya wokovu watu. Tunaomba hayo kwa njia ya Bwana watu Yesu Kristo Mwanao, anayeishi na kutawala nawe katika umoja wa Roho Mtakatifu, Mungu, daima na milele. Amina. `
`Baba Yetu………………. Salama Maria………… Atukuzwe Baba……….. `
K: `Bikra Maria mama wa msaada wa daima…. W: Utuombee na Utusaidie`
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Mungu akubariki!
๐โค๏ธ Mungu ni mwaminifu
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐๐โค๏ธ Nakuombea heri