Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
utakalo lifanyike
duniani kama mbinguni.
Utupe leo mkate wetu wa kila siku,
utusamehe makosa yetu,
kama tunavyowasamehe na sisi waliotukosea.
Usitutie katika kishawishi,
lakini utuopoe maovuni.
Amina
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
๐๐ Namuomba Mungu akupiganie
๐๐ Neema za Mungu zisikose
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Rehema zake hudumu milele