Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, Aleluya. Utuombee kwa Mungu, Aleluya. Furahi shangilia, ee Bikira Maria, Alaluya. Kwani hakika Bwana amefufuka Aleluya. Tuombe. Ee Mungu, uliyependa kuifurahisha dunia kwa kufufuka kwake Bwana wetu Yesu Kristu, Mwanao: fanyiza, twakuomba, kwa ajili ya Bikira Maria, tupate nasi furaha za uzima wa milele. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristu Bwana wetu. Amina.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Mwamini katika mpango wake.
🙏❤️💖 Tumshukuru Mungu kwa yote
🙏✨❤️ Tumwombe Mungu kila siku
🙏🌟 Mbarikiwe sana