1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA
2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJIVU; USILE NYAMA SIKU YA IJUMAA KUU
3. UNGAMA DHAMBI ZAKO WALAU MARA MOJA KILA MWAKA
4. POKEA EKARISTI TAKATIFU HASA WAKATI WA PASAKA
5. SADIA KANISA KATOLIKI KWA ZAKA
6. SHIKA SHERIA KATOLIKI ZA NDOA
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
🙏🌟 Mungu alete amani
Dumu katika Bwana.
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Rehema hushinda hukumu