Posted: December 20, 2017
Mungu daima anawaza Mema na Anampangia Mtu Mambo mema. Kama mtu ataenda katika njia ambayo Ipo katika mipango na mapenzi ya Mungu basi atapokea yale mema Mungu aliyopanga Kwake. Lakini kama mtu ataishi kwa kufuata mapenzi yake mwenyewe basi atapoteza yale mema Aliyopangiwa.
Nguvu hutoka kwa Bwana
Katika imani, yote yanawezekana
Mungu ni mwema, wakati wote!
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Rehema hushinda hukumu