Posted: December 20, 2017
Mungu hapendi mtu Ateseke lakini ni kwa njia ya ya Mateso mtu anaweza akapimwa IMANI yake, UNYENYEKEVU, UTII na Matumaini yake kwa Mungu.
Mateso na shida katika maisha ni nafasi ya kujifunza na Kuonyesha unyenyekevu, Imani na Matumaini ya mtu.
Nguvu hutoka kwa Bwana
Katika imani, yote yanawezekana
Mungu ni mwema, wakati wote!
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Rehema hushinda hukumu