Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Smart phone), kukawa na jamaa kasimama pembeni yangu, ye hakupata seat. Sasa akawa anasoma message zangu bila aibu yani anafutilia ninavyochati…
Basi nikasema ngoja nimtie Adabu mshenzi huyu…. Nikacheck saa yangu yamkononi kisha nikatext: “Oya Ben Kwaheri bwana, zimebaki sekunde 30 tu hili bomu💣 lilipuke… najua hatutaonana tena, nitunzie Familia yangu, wambie nawapenda sana…” Yule jamaa akajirusha dirishani……😂😅
kwani mi napenda ujinga xx 😂😂😂😂😂😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hii ni kali sana! 😂🤣
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! 🎉
😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!
Kila siku napenda jokes zenu! 😆😂
Kama kawaida! Bado nacheka! 😄