Kuwa makini sana na mawazo yako, Yanaweza kukupeleka Mbinguni au motoni.
Kumbuka vile unavyowaza ndivyo utakavyovitenda.
Amua kuwaza mema kutoka ndani ya moyo wako kisha utatenda mema katika maisha yako
Kumbuka Mungu humhukumu mtu kwa mawazo yake maana mawazo ya mtu ndiyo mtu mwenyewe
Tuwaze mema wapenzi ili tuwe wema
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write CommentsViews: 1