Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,
Kainuka na kuanza kumkimbiza kibaka,
Kibaka kuona Bibi hakati tamaa akatupa simu,
Bibi kaikota na kuendelea kumkimbiza kibaka,
Kibaka “Bibi kama ni simu yako si tayari umechukua”,
Bibi kajibu “Bado Mtama”
bibi ujinga hapendagi”😡😡😡😡😡
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Umetisha! 👌😂
😆 Nacheka hadi chini sasa hivi!
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! 🏆
😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
🤣 Ninashiriki hii sasa hivi!